Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Mimi sio mjinga dogo,mimi nina familia siwezi nikawaza eti niandamane kisa na mkasa eti lissu kaibiwa kura!!..watanzania hawana ujinga huo,watanzania wana-reason kwanza kabla ya kufanya maamuzi,hawaokotwi kama mang'ombe au makenya,lissu yuko zake belgium huko wewe huku bongo unavunjwa mbavu,hiyo akili au ubwabwa???!!!..mimi kama siridhiki na ccm asa hivi niko zangu zambia au brazil nafanya mambo mengineJamaa keshawaoza kw policcm tayari, jamaa mpka wanaita wachumba siku hizi![]()
Bado zamu yenu 2022,na jinsi mlivyo na ubwabwa kichwani,lazima mgongane,uchaguzi mwaka 2022 siasa zimeanza tangu juzi *****...
