Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kinachofrahisha zaidi matuta na madaraja yote tayari bado izo sehemu za kutandika mataruma na kuweka reli...Apo kipande cha DAR ndio sijaelewa wanapaacha kwa kusudi flan Au vp

kipande cha Dar kitaanza kuwekwa ikiwa sehem ya kushuka na kupanda juu ya kila viaduct imekamilika (pia movement juu ya viaduct isikutane na shimo/uwazi wowote)..
sijui nimeeleweka ?
 
kipande cha Dar kitaanza kuwekwa ikiwa sehem ya kushuka na kupanda juu ya kila viaduct imekamilika..
sijui nimeeleweka ?
Jana nilipita "majumba sita" pale sija elewa wanafanyaje au ile njia inakufa maana hamna daraja pale
 
kipande cha Dar kitaanza kuwekwa ikiwa sehem ya kushuka na kupanda juu ya kila viaduct imekamilika (pia movement juu ya viaduct isikutane na shimo/uwazi wowote)..
sijui nimeeleweka ?
Baridi
 
Hadi afe Magufuli hoiyee!!

Yeees kama xi jinping...na general election pia ifutwe,tunapoteza pesa nyingi sana kwa mambo ya uchaguzi tu..kwanza haya mambo ya uchaguzi sio mambo yetu watz ni beberu tu ndo alitulazimisha,hata kama unakumbuka enzi za mzee mwinyi watanzania hawakutaka mfumo wa vyama vingi,ni 20% tu ndo walitaka,lakini 80% walipinga,mzee mwinyi aliamua kuwafuata wale 20%..najua huwezi kukumbuka,ulikuwa bado kuzaliwa..ule mfumo wa china wa CCP ni copy na paste ya CCM masterplan akiwa mzee mwl nyerere mwenyewe
 
subir.. kuna mtu nimemuuliza.. akijibu nitaleta huku

yey kasema hajui pia
IMG_1605117733.640339.jpg
 
Any quality movie from the south this levels ama ni zile za Maisha Magic East or Bongo?;

(I dont enjoy love kinda movies but I appreciate the quality input, it is litt, mie ni investigation na political conspiracies, CIA, MOSSADor KGB type) but these Kenyan productions are on another level!!




Any TZ production on Netflix?

iyo plan b ni moto🔥🔥🔥🔥
 
Kama unaongelea paper economy hapo sawa ni bado kubadilisha tu ila ukiongelea uhalisia kenya huwezi linganisha na Tz kwa ss, hilo hata nyie mnalijua haliitaji maelezo.
Kawahongeni hao mabeberu na nyie wawape hyo paper economy muanze kupata private investors kw wingi..

Tena ile siku mtawahonga mpewe hyo paper economy, tra wataanza kukusanya mpunga wa maana sana..AU na UN headquarters zitahamia tanzania
 
Yeees kama xi jinping...na general election pia ifutwe,tunapoteza pesa nyingi sana kwa mambo ya uchaguzi tu..kwanza haya mambo ya uchaguzi sio mambo yetu watz ni beberu tu ndo alitulazimisha,hata kama unakumbuka enzi za mzee mwinyi watanzania hawakutaka mfumo wa vyama vingi,ni 20% tu ndo walitaka,lakini 80% walipinga,mzee mwinyi aliamua kuwafuata wale 20%..najua huwezi kukumbuka,ulikuwa bado kuzaliwa..ule mfumo wa china wa CCP ni copy na paste ya CCM masterplan akiwa mzee mwl nyerere mwenyewe
Jamaa keshawaoza kw policcm tayari, jamaa mpka wanaita wachumba siku hizi[emoji1787]
 
Washajenga na ukuta wa kuzunguza stendi tena wa zege sio tofali + Kuna mfeleji washajenga pia kwa mbele ya stendi unaounganisha na mto mbezi, hii ngoma before Nov 30 itaanza kupiga mzigo
sure ila vipi kuhusu daraja litakalosogea kwenye barabara kuu..?
 
Back
Top Bottom