Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The natural deep-sea port is part of the Sh2.5 trillion Lamu-South Sudan-Ethiopia Transport Corridor (LAPSSET) project launched on March 2, 2012 by the then Kenyan President Mwai Kibaki, late Ethiopian Prime Minister Meles Zenawi, and South Sudan's President Salva Kiir.


Tony254
 
Wewe Geza una matatizo ya akili sio bure, hivi kwanini unadhani wewe ndio unajua kila kitu hapa JF, hivi unataka kujifanya wewe ni "the most genius " hapa ndani kwasababu gani?.

Hii discussion ulinikuta ninajibishana na Tony254, wewe umeingilia kati na kudakia haya mazungumza, na unataka ukisema wewe watu wote wanyamaze hapa JF, wakati unazungumza upupu mtupu wakati mwengine ila tunakuvumilia.

Upunguze upumbavu wako wakujifanya unajua kila kitu, eti unifundishe mimi wewe, wewe ninaweza kukufundisha hadi uzeeke, hunifikii kwa lolote wewe, mjinga kabisa wewe.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa 🤣🤣🤣
 
Tony254 hivi unaweza kutuambia wewe ni kabila gani na umekulia wapi? Nauliza hivi kwasababu uko tofauti sana na wenzio. Samahani sana kama maswali yangu yatakukwaza.
Let me guess, amekaa Mkamba mkamba! Anaweza kuwa na damu ya TZ pia! Yupo jamii ya Kalonzo, Charity Ngilu na Alfred Mutua 🤣 🤣 👇👆
 
Tony254 hivi unaweza kutuambia wewe ni kabila gani na umekulia wapi? Nauliza hivi kwasababu uko tofauti sana na wenzio. Samahani sana kama maswali yangu yatakukwaza.
Japo sikubaliani na wewe katika kumuuliza kabila, ila ninakubaliana na wewe katika vipengele vyote vilivyobaki, hana tabia za Kenya kabisa, jamaa ni tofauti sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
kaka, fingerprint nje nje hapo,

Jamani watanzania na wana EA wenzangu, nchi zetu zilishaondoka kule kwenye mambo ya "faili lako hatulioni". Kila taarifa iliyohifadhiwa haipotei na inaweza kunakiliwa na yoyote yule hata akiwa nje ya nchi.

Unaweza usijali ya leo lakini hujui kesho identity yako itatumikaje, au mwanao au hata wajukuu zako wataathirika vipi.

Unaweza kuja kutaka kugombea ubunge baadae au ukatibu mkuu wa UN. Wapinzani wako wanaweza kuipata fingerprint yako mahali, na kwenda kuitafuta mitandaoni. Kutoka hapo watakuja kuoanisha na hili bandiko, wataangalia post zako zote na hatimae utakuwa "kwisha habari yake".
 
kaka, fingerprint nje nje hapo,

Jamani watanzania na wana EA wenzangu, nchi zetu zilishaondoka kule kwenye mambo ya "faili lako hatulioni". Kila taarifa iliyohifadhiwa haipotei na inaweza kunakiliwa na yoyote yule hata akiwa nje ya nchi.

Unaweza usijali ya leo lakini hujui kesho identity yako itatumikaje, au mwanao au hata wajukuu zako wataathirika vipi.

Unaweza kuja kutaka kugombea ubunge baadae au ukatibu mkuu wa UN. Wapinzani wako wanaweza kuipata fingerprint yako mahali, na kwenda kuitafuta mitandaoni. Kutoka hapo watakuja kuoanisha na hili bandiko, wataangalia post zako zote na hatimae utakuwa "kwisha habari yake".
Fact mkuu, nakubaliana na ww katika hilo thanks for positive attitude..
 
Update: Lokichar-Lamu crude oil pipeline
The project faces major delays, in addition to the perennial challenges that the partners have faced and forced them to push forward the deadline for the Final Investment Decision to later this year.

The companies recently served the government with force majeure notice, which means they may not be able to deliver on their contractual obligations owing to the coronavirus pandemic.

This might see a further delay in the project getting to its commercial phase and pushing further into the future when the country can start earning from the oil in Lokichar.

 
Tony254 hivi unaweza kutuambia wewe ni kabila gani na umekulia wapi? Nauliza hivi kwasababu uko tofauti sana na wenzio. Samahani sana kama maswali yangu yatakukwaza.
Kabila langu siwezi kulitaja hapa ila mama ni wa kabila tofauti na baba. Wazazi japo wanatoka kabila tofauti walipendana na kufunga ndoa. Kisha mimi na ndugu zangu wawili wote hatuzungumzi lugha ya mama au baba. Sisi tunafahamu lugha mbili tu Kiswahili na Kizungu japo mimi nazungumza ya tatu , lugha ya kiczech wanayozungumza watu kutoka nchi ya Czech Republic huko Central Europe, nilikoishi kwa miaka miwili.
Halafu nimelelewa katika cities tatu hapa Kenya kwa hivyo nimetangamana na kabila nyingi hapa Kenya.
Nimezaliwa Kisumu kwa wajaluo na kuishi kwa miaka kumi huko. Kisha Nikaenda Nakuru kwa Wakikuyu na Wakalenjin, nikaishi huko hadi nilipomaliza university ndipo nikaenda Nairobi kufanya kazi. Nairobi utapata kabila zote mchanganyiko. Nimetangamana na Waafrika, Wazungu na watu kutoka bara la Asia. Nadhani ili mtu ajue kuishi na watu vizuri lazima utangamane nao. Ila chuki huwa inaletwa na kukosa kutangamana na watu waliotofauti na wewe. Tutembee kote kote na tutangamane na kila mtu ili tukomeze chuki baina yetu sisi wanadamu.
 
Kabila langu siwezi kulitaja hapa ila mama ni wa kabila tofauti na baba. Wazazi japo wanatoka kabila tofauti walipendana na kufunga ndoa. Kisha mimi na ndugu zangu wawili wote hatuzungumzi lugha ya mama au baba. Sisi tunafahamu lugha mbili tu Kiswahili na Kizungu japo mimi nazungumza ya tatu , lugha ya kiczech wanayozungumza watu kutoka nchi ya Czech Republic huko Central Europe, nilikoishi kwa miaka miwili.
Halafu nimelelewa katika cities tatu hapa Kenya kwa hivyo nimetangamana na kabila nyingi hapa Kenya.
Nimezaliwa Kisumu kwa wajaluo na kuishi kwa miaka kumi huko. Kisha Nikaenda Nakuru kwa Wakikuyu na Wakalenjin, nikaishi huko hadi nilipomaliza university ndipo nikaenda Nairobi kufanya kazi. Nairobi utapata kabila zote mchanganyiko. Nimetangamana na Waafrika, Wazungu na watu kutoka bara la Asia. Nadhani ili mtu ajue kuishi na watu vizuri lazima utangamane nao. Ila chuki huwa inaletwa na kukosa kutangamana na watu waliotofauti na wewe. Tutembee kote kote na tutangamane na kila mtu ili tukomeze chuki baina yetu sisi wanadamu.
Nakuru ulienda mwaka gani!?
 
Kabila langu siwezi kulitaja hapa ila mama ni wa kabila tofauti na baba. Wazazi japo wanatoka kabila tofauti walipendana na kufunga ndoa. Kisha mimi na ndugu zangu wawili wote hatuzungumzi lugha ya mama au baba. Sisi tunafahamu lugha mbili tu Kiswahili na Kizungu japo mimi nazungumza ya tatu , lugha ya kiczech wanayozungumza watu kutoka nchi ya Czech Republic huko Central Europe, nilikoishi kwa miaka miwili.
Halafu nimelelewa katika cities tatu hapa Kenya kwa hivyo nimetangamana na kabila nyingi hapa Kenya.
Nimezaliwa Kisumu kwa wajaluo na kuishi kwa miaka kumi huko. Kisha Nikaenda Nakuru kwa Wakikuyu na Wakalenjin, nikaishi huko hadi nilipomaliza university ndipo nikaenda Nairobi kufanya kazi. Nairobi utapata kabila zote mchanganyiko. Nimetangamana na Waafrika, Wazungu na watu kutoka bara la Asia. Nadhani ili mtu ajue kuishi na watu vizuri lazima utangamane nao. Ila chuki huwa inaletwa na kukosa kutangamana na watu waliotofauti na wewe. Tutembee kote kote na tutangamane na kila mtu ili tukomeze chuki baina yetu sisi wanadamu.
Ngugi hawezi kukuelewa huzungumzi lugha ya Kikabila!
 
Back
Top Bottom