Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ata upost nini.... Ujinga wako tumejua... thitima Leo nmecheka Yangu yote..una insist ujinga
Dar 1590.5 km sq = nairobi 696+ msa 113 + kisumu 60+ eldoret 20 wapi kwengine😀😀😀
😛😛😛😛😛😛
Yani umeshindwa kutete hoja kuhusu urban city area............
 
kilimanjaro na JNIA

Songwe int airport ..unataka tukubali malindi na eldoret alafu mkatae songwe ..wakenya bhana mna matatizo ya kudharau ..hehe na kwa hali hii mbona namba mtaisoma mntatoa mapovu hadi vichwa vipasuke
 
Umeshindwa kabisa kujua urban city area kati ya nairobi na dar😀😀😀😀😀😀😀
Leo umenifurahisha sana sasa urban city area
Inakutoa povu hvo
Basi kwa taarifa yako nairobi inaingia 3 times kwa dar😛😛😛😛😛😛
1590.5 km sq vs 696 km sq +mombasa 113 km sq
+ Kisumu 60 km sq + eldoret 20 km sq wapi pengine tena 🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Ambapo 90% of 1590 hapakaliki huh? Amd it seems like you guys are okay about that whole slum thing hata hamna haja na serikali iigilie kati na kujaribu kuzipunguza, (lakini nashimdwa kivipi watapunguza)
Mbona huna haya kuweka wazi kwamba dar ni 1590km sq ilhali tunajua ya kwamba asilimia kubwa ni vidanguro. (wallai hio Kiswahili imeweza)
 
Tumekua tukiongelea Density...Leo umeshikwa umejikojolea....wewe na ujinga kitu moja...
635936796463f34f439dd3f91d959948.jpg
Kaanze mwanzo wa topic ndio utafahamu vyema
😀😀😀😀😀
 
Naomba mniambie emirates gani inaenda eldoret ..emirates gani inaenda malindi
 
Ambapo 90% of 1590 hapakaliki huh? Amd it seems like you guys are okay about that whole slum thing hata hamna haja na serikali iigilie kati na kujaribu kuzipunguza, (lakini nashimdwa kivipi watapunguza)
Mbona huna haya kuweka wazi kwamba dar ni 1590km sq ilhali tunajua ya kwamba asilimia kubwa ni vidanguro. (wallai hio Kiswahili imeweza)
Haya unaona sasa ushabadili mada tena kumbe unajua dar ni 1590 km sq sasa unabisha nn
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Ambapo 90% of 1590 hapakaliki huh? Amd it seems like you guys are okay about that whole slum thing hata hamna haja na serikali iigilie kati na kujaribu kuzipunguza, (lakini nashimdwa kivipi watapunguza)
Mbona huna haya kuweka wazi kwamba dar ni 1590km sq ilhali tunajua ya kwamba asilimia kubwa ni vidanguro. (wallai hio Kiswahili imeweza)
Ukubali ukatae ukubwa wa dar nairobi inaingia mara 3 wala halina ubishi kabisa😀😀😀😀
 
Songwe int airport ..unataka tukubali malindi na eldoret alafu mkatae songwe ..wakenya bhana mna matatizo ya kudharau ..hehe na kwa hali hii mbona namba mtaisoma mntatoa mapovu hadi vichwa vipasuke
Naona unawashika kwenye makende
Hao hua wanajiona wao ndio superior kumbe hakuna worse kama wao😀😀😀
 
Hiv jaman mtu anakwambia eti emirates inaenda eldoret ..etihad malindi
 
The blogger who leaked the national writer's DCI photo. Hizo picha kwani zina nini wakenya wenzangu.
IMG_20170620_211155.jpg
 
Naomba mniambie emirates gani inaenda eldoret ..emirates gani inaenda malindi
Songwe airport is not even IATA approved, do you know the meaning of international airport? Or do i give you a benefit of doubt. Anyway as clearly indicated, Songwe airport operates only 1 local destination to and from daresaalam by fastjet.
About eldoret international airport i guess this is where you should seek the help of dr Google.
Etihad airlines(cargo), Emirates
And Turkish airlines have scheduled weekly flights to eld. Fyi all airports in kenya including wilson are IATA approved
 
Hahahha ata unitusi aje Leo nmekushika ety density ni area..... wewe ndio ulifanya kadoda asomeshe mtoto Kenya....hio ujinga yako zii
Kazi iko hapa sijasema density ni area tafuta any comment niliosema density ni area usiwe muongo
Nilichosema dar ni kubwa sana tena sana kwa nairobi
20170620_212736.png

Huwez kimbia kwenye ukweli mm hua sizingiziwi
Nakupa fact hapo hapo.....urban city area hapo ndipo nipo mm toka mwanzo
 
Back
Top Bottom