Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,268
- 79,641
Lile garimoshi ni chang'aa boiler likitokota!Inakua kama mashine ya, kuchekecha ulanga
Lile garimoshi ni chang'aa boiler likitokota!Inakua kama mashine ya, kuchekecha ulanga
There's a reason why Millard Ayo is one out of only 2 people that clocked 1 bln views in Africa!Kwani Millard Ayo ni mchawi? Amepata hii habari haraka sana vipi?
Ndida mtu mbaya
Kijana Si upite hapo ulete latest picture hizi tayari zilipendwa!
Nyie hata hamna chopper zaidi ya kumi na tano nchi nzima. Sasa mtapata vipi ajali ya ndege?
Point of correction sema Tanzania haina rejected right off helicopters! All the helicopters in the offseas doing gas explorations don't crash like that!Nyie hata hamna chopper zaidi ya kumi na tano nchi nzima. Sasa mtapata vipi ajali ya ndege?
Mbn kq ina ndege nyingi tu na hazipati ajali km chopa zenu?Nyie hata hamna chopper zaidi ya kumi na tano nchi nzima. Sasa mtapata vipi ajali ya ndege?
Kuna yule tan boy aka kibega anechungulia humu leo atajifunza maana ya miji
Maana ya continously welded railway 🥶🥶🥶
Mimi ni mojawapo ntakaotumia sana hii SGR. Jana mama alintumia sms sato nliomletea kamaliza na mimi sina safari hivi karibuni ya kwenda kanda ya ziwa na hua naenda kwa ndege. So unaweza kuona hapa nasacrifice jmosi tu natoka kumi na mbili saa saba nipo mwanza, nabargain sato na dagaa then saa tisa au kumi natoka mwanza saa nne au tano nipo dsm ambao ni muda wangu wa kawaida wa kurudi home.
Hata kama nimekuzidi miaka kumi hapa nakupa shkamoo, I appreciate broHongera.
Kenya stima iko nairobi tu na mombasa kiduuuuchu😃😃
Huyo hana shida mbn sema anaharibiwa na Wakenya wenzake.Hata kama nimekuzidi miaka kumi hapa nakupa shkamoo, I appreciate bro
Kenya stima iko nairobi tu na mombasa kiduuuuchu
hiyo ndiyo kazi yake,,hivyo lazima awe active na huo ndiyo ubora wakeKwani Millard Ayo ni mchawi? Amepata hii habari haraka sana vipi?
utazipata tu usijal😂😂Kijana Si upite hapo ulete latest picture hizi tayari zilipendwa!
Khadija kopa in the makingTANZANIA BADO SANA KUISHINDA KENYA.
😀😀😀😀😀
KAMA UMEMIND MEZA WEMBE.