Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,975
- 27,975
Tangu lini PPP ikawa loan? Wewe ulienda shule kweli?hio mpaka august 2020
sio juzi uhuru kaenda paris kuchukua loan au mulipewa bure haijaingia hapo ukumbuke πππ
ndio maana wachumi washakwambia jamaa anaondoka na 9trillion debt manake ishaanza kunusa harufu πππView attachment 1602047