Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hio mpaka august 2020

sio juzi uhuru kaenda paris kuchukua loan au mulipewa bure haijaingia hapo ukumbuke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

ndio maana wachumi washakwambia jamaa anaondoka na 9trillion debt manake ishaanza kunusa harufu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 1602047
Tangu lini PPP ikawa loan? Wewe ulienda shule kweli?
 
Niondolee hii takataka ya Jubilee bro, nataka tumalizane huko huko WB, nataka unioneshe neno paved highway kwenye huo utopolo uliouleta
Ndio nimekuambia unionyeshe any Highway in Kenya that is not paved.
 
Tangu lini PPP ikawa loan? Wewe ulienda shule kweli?
ndio maana nimesema mumeingia kwenye project za ppp kwasababu hakuna wakuwakopa nyinyi na hapo ndipo mchina atawakamu vzr πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hospitali muzitoe wapi ??? hio electricity ina faida gani ikiwa hata access to electricity bado muko chini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hzo uni ndio hua zinawafundisha huu ujinga munaoongea humu,

paved road ndio hzo munadangnya watu humu ndani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwamba kenya ndio nchi pekee chini ya jua kujenga 10000km within 2 yrs
Kwa hopitali Tanzania has a total of 9,000 hospitals. Kenya ziko 13,000.
 
Ndio nimekuambia unionyeshe any Highway in Kenya that is not paved.
Hahahaha unashindwa hata kutetea utopolo uliouleta kwa mikono yako mwenyewe, unategemea nini kama sio una akili mbatata? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Mtazidi kua na kilometers 11k kwa miaka mingine 20 ijayo kwa akili hii
 
ulimalizana na nani kwa vile ww ndio katibu mkuu wizara ya nishati tanzania πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi natumia maneno ya waziri wenu mwenye alisema wenye waekuwa connected ni only 2.7 million. Tukipiga hesabu na hiyo inakuja 32%
 
Hahahaha unashindwa hata kutetea utopolo uliouleta kwa mikono yako mwenyewe, unategemea nini kama sio una akili mbatata? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Mtazidi kua na kilometers 11k kwa miaka mingine 20 ijayo kwa akili hii
2424280_IMG_20200611_130314.jpg
 
Mimi natumia maneno ya waziri wenu mwenye alisema wenye waekuwa connected ni only 2.7 million. Tukipiga hesabu na hiyo inakuja 32%
ulimalizana na nani ww na hawa nani wanaakili zaidi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Back
Top Bottom