Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mkuu kulingana na data zao kuwa tofauti tofauti dhahili inaonaonyesha kuwa hawa jamaa maisha yao yote ni ya kupika data.....tuendelee kuwaenjoy tu kama walivyo jichanganya kwenye millionaires
kashakaangwa tayar siunaona ametulia sasa kapewa kitu roho inapenda 😂😂😂
 
Hehehee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cc:teargas huyu keshakubali chini chini hata achana nae
kenya air force sawa hio ni jina la force yenu how about that code??? imetokana na jeshi gani kenya???
 
@Teargass Tafadhali pitia huku
Ameamua kuhamisha magoli kahamia kwenye jeshi ambapo uko napo hawezi kutoka salama na nadhani anajua hilo ngj tumalizane hii zen tuende kwenye jeshi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nataka unijibu haya maswali.
Title: Tanzania leads in rural electrification.
Questions
1.
Who did the ranking? (10mks)
2. Who was last in that rural electrification ranking? (5mks)
3. Which countries were the top 5 in rural electrification? (15mks)
4. The top 5 countries that had higher rural electrification, what was the percentage of each one of them? (20mks)
5. Which year and date was the ranking done? (20mks)
6. How many countries dropped in that ranking and how many countries improved? (30mks)
 
hzo ni shuttle za county to county and not city van, mm huwez nidanganya bro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1600827View attachment 1600828View attachment 1600829View attachment 1600830
Mzee baba, hzo zina apply mombasa pekee[emoji23][emoji23]
Si nilidhani unaijua mombasa, hyo ndio culture ya msa kw sababu ya kuzi pimp tu na ukiweka new model hapandi huaga mtu anaona ni km ni shuttle za long distance
images.jpeg-30.jpg
images.jpeg-29.jpg
 
Si ndege za za KDF hizi bali za US base Nanyuki kwa vile wanafanya drills pamoja na ziko based Kenya ndo maana kuna Kenyan flag in the tail!!
Mwengine nae kaja kivingine hku[emoji23][emoji23][emoji23]
Za marekani tena..
 
Hehehee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cc:teargas huyu keshakubali chini chini hata achana nae
Alianza na 5y, akatoka huko akaruka tu ndege za UN. Sasa saa hii anasema ati writings ni tofauti 🤣 🤣 🤣
 
Alianza na 5y, akatoka huko akaruka tu ndege za UN. Sasa saa hii anasema ati writings ni tofauti 🤣 🤣 🤣
kua serious weww hakuna mjinga humu ndani 😂😂😂 wamekukaanga kwenye barabara umekimbia huko unakuja na huku unataka kudanganya pia
 
hata ndege za UN zina bendera ya nchi husika naona ujinga umekuzidi akilini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km hizi lkn wala sio hzo, labda uniulize lini UN walibadili mfumo wa upakaji rangi[emoji23][emoji23][emoji23]
images.jpeg-32.jpg
 
Back
Top Bottom