Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,306
- 3,649
naona unakurupukaKwa nini over 20 Nairobi wamekimbia??
naona unakurupukaKwa nini over 20 Nairobi wamekimbia??
ujue nimehesabu zipo ghorofa 20 kama na kitu na vile vibandaHiyo ni CBD na The Overrated Upperhill yenye UAP, Britam, KCB na Prism.
Huko Westland Bado Hamna kitu hizo cranes zitatengenza kitu cha maana baadae.
So Kama alivyosema jamaa. Ni kweli. Kuna ile picha mi baada ya kuiona Ndio hata siamini hata Kama mmpepata picha ya angle nzuri kiasi gani.
Sasa nyinyi wenye tower mbili cbd...na njee ya cbd ni slums una guts ya kubonga hapa
Upcoming Kijitonyama District by indaressalaam, on Flickr
Upcoming Kijitonyama District by indaressalaam, on Flickr
mbaya hazipendezi......by mbaya unamaanisha ziko poa hehe najua umezitamani... welcome to our modern city.
bado vijengo vinahesabika.....ovyo tuWewe hunaga cha maana...iyo ni old cbd na si yote..kuna westie,upperhill,hurlingham etc ...nyinyi ni cbd na slums hii si dar ya tower mbili![]()
hizo mambo hakuna sasa ivi hayo maeneo ni empty.....MZEE WA IPHONE7Hizi ndio mzuri![]()
yaani city yao majengo madogo mengi kiasi hata yaliyo madogo yanaonekana makubwaYou have many holes to fill...ongezeni bidiii
![]()
Acheni majina ya kupamba vituNAIROBI
Housing Estates...!View attachment 527384
Downtown wana KICC na Times Tower, vitower viwili vya miaka ya sabini, halafu ana audacity ya kuja kusema DAR tower mbili,Upper hill wana Tower mbili pia zilizokamilika UAP na KCB, hiyo Britam ni topped out tu , sijui huwa wanahesabu na mashimo ya misingi na macrane? 😀😀😀😀😀ujue nimehesabu zipo ghorofa 20 kama na kitu na vile vibanda
ushambaaaaaa na povuuuuuuu utawamaliza. Tunaelewa bado muna evolve.Acheni majina ya kupamba vitu
Sema Nairobi dormitory
You are very shallow and so wrong. Hata kile unaandika hujui ety KCC na SOUL.Downtown wana KCC na Times Tower, vitower viwiki vya miaka ya sabini, halafu ana audacity ya kuja kusema DAR tower mbili,Upper hili wana Tower mbili pia zilizokamilika UAP na KCB, hiyo Britam ni topped out tu , sijui huwa wanahesabu na mashimo ya msingi na macrane? 😀😀😀😀😀
Jiji ambalo bado linatembelea kichwa kila kitu wamewamchia tu mungu, no proper public transport system, kitu basic wanakosa kabisa halafu unadai ni international city, unashindana na DAR Mnaita na LCD kila siku, Hivi unajishindana na mtu unayemwaita wa chini we huko gorofani kuna wapangaji kweli? (kichwani)😀😀😀😀😛😛😛😛
Ni aibu kwa kweli. kwa arrogance yao, size yao ni SINGAPORE na SOUL, angalia walipo wenzao sasa hivi na wenyewe. wamebakishwa na DAR 😀😀😀😀 Wanapumulia machine, haha.
Honestly nairobi has got no tower at all,claiming dar has two tower while you have none doesn't make sense!!Hakuna sijui ghorofa mingi squeezed zimepakwa rangi, ona vile each building is unique sio kama zile zenu mingi za kufanana. Hii mchezo hatujaanza jana kama nyinyi, respect your elders, nyi bado ni upcoming. View attachment 527442
So you mean this are not towers?Honestly nairobi has got no tower at all,claiming dar has two tower while you have none doesn't make sense!!
Most of Nai is empty plots which makes city looks like town ,not city ,no density!!
Have a look at this
That is upanga daresalam...it's crowded with modern building and has taste of city![]()
ka city center kao kaleee kanatia huruma kamepwaya aiseeMoja ya picha wasioipenda ya Nairobery
The dry city under the sun.
![]()