hehe diani na lamu na mombasa zikwapi ?????😀😀😀😀😀😀😀umeruhusiwa. ingiza Mwanza na Arusha pia
at your age hujui kutofautisha photoshop and a real pic, smh... you people are so ignorant.Kibera haito waacha wa Kenya salama. Alafu tourist wanatoka juu ya gari kamavile wamekuja kuangalai wa nyama. Hadi inabidi wawaangalie kwa darubini!! Ooooh my OooohView attachment 526929
kwa ivyo unaomba msamaha sio??? Nairobi ngumu kumeza?hehe diani na lamu na mombasa zikwapi ?????😀😀😀😀😀😀😀
nairobi kwa dar utajidanganya bure ni ndogo tena ndogo sana....dar sio size yenu kabisaa😀😀😀😀😀😀😀kwa ivyo unaomba msamaha sio??? Nairobi ngumu kumeza?
haha. Biggest joke of the Centurynairobi kwa dar utajidanganya bure ni ndogo tena ndogo sana....dar sio size yenu kabisaa😀😀😀😀😀😀😀
haipingiki hio hata ukikasirika stahmili tu😀😀😀😀😀😀😀😀😀haha. Biggest joke of the Century
Dar imeizidi Nairobi kwa nini?haipingiki hio hata ukikasirika stahmili tu😀😀😀😀😀😀😀😀😀
siyo siri hizo housing estate zenu ni mbaya...NAIROBI
Housing Estates...!View attachment 527384
Alokwambia hatukumbuki kuhusu pure Gold ni nani? Na kumbe hata hujui kwa nini makinikia yazuiliwe kuondoka huku pure gold ikiruhusiwa kuondoka!Lewis utajichosha na hawa wabongo wamekaa kushabikia makinikia ambayo ni kama left over huku pure gold hawasumbuki nayo...ndo maana kuna research nyingine inasema kati ya watanzania 5 wawili ni vichaa..so kwa ushauri wangu angalia unaoibishana nao usikute ndo vichaa wenyewe
yaan nairobi majengo yanahesabika ni machache sana.....ni padogo sana hapo city centerNNAIROBI
![]()
![]()
![]()
Unadhani iyo ni Nairobi yoteyaan nairobi majengo yanahesabika ni machache sana.....ni padogo sana hapo city center
aliyekuroga alikufasiyo siri hizo housing estate zenu ni mbaya...
hyo si ndiyo sehemu ambauo mnayoiona kama inapendezesha nairobi kiukweli city center yenu ni ndogo aisee.......is too bad kuwa cityUnadhani iyo ni Nairobi yote
Unadhani iyo ni Nairobi yote
ha haaa hicho ndiyo kipaji chako sasa.....MZEE WA MIPASHOaliyekuroga alikufa
by mbaya unamaanisha ziko poa hehe najua umezitamani... welcome to our modern city.siyo siri hizo housing estate zenu ni mbaya...
wewe upperhill unaionea tu kwa picha, that's an upto date CBD being constructed, international standards.Hiyo ni CBD na The Overrated Upperhill yenye UAP, Britam, KCB na Prism.
Huko Westland Bado Hamna kitu hizo cranes zitatengenza kitu cha maana baadae.
So Kama alivyosema jamaa. Ni kweli. Kuna ile picha mi baada ya kuiona Ndio hata siamini hata Kama mmpepata picha ya angle nzuri kiasi gani.