Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,719
- 107,165
Naona ushaanza kurukaruka. Bado hatujatoka pale kwa underpass, ebu tuonyeshe underpass ya Tanzania.Hahahaaa, umetaka underpass umepewa ss zamu yako na ww, lete japo mita moja ya hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1597720
Zote ni club.🤣🤣wacha uwongo.......
hiyo sehemu ina 2 part
,,,club next door na next door arena
Hata ukilia huwezi badili ukweli huu[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hamtawaikuwa na underpass hadi dunia iishe. Uoni wewe pekee yako ndio umekazana wakati wenzako wamejua vizuri hakuna underpass Tanzania?
Skia sitabishana na wewe mpka ufike Next Door arena uone jengo lake Etc..maaana nikupeteza NguvuWhat you posted here was a tent my friend, mbona mnapenda kulazimisha vitu.
Unabadilisha maana ya kitu unaweka yako ss[emoji3][emoji3][emoji3]Hizo elevated roads zimejaa Nairobi wacha kutuletea upupu
hvi ww unaushamba sana naona 😀😀 kwani ni lazma indoor arena itumie matofauliSitting capacity ya hiyo tent ya Churchil Show is not the subject of discussion. Unachoulizwa ni kwamba tangu lini tent kama hiyo ikaitwa indoor arena?
Ushawaua tayari, ngj waje ucheke [emoji3][emoji3]I challenge Mkenya Anioneshe auditorium kama hii..Kenya huko View attachment 1597722View attachment 1597724
Hii ni wikiepdia na wengine humo wame post halls..hata sisi tukitaka tunaweza update halls zetu tukaziwekaPlease hakuna haja tupingane, mngekuwa na indoor Arena basi mngekuwa listed hapa[emoji116][emoji116][emoji116]
https://www.wikizero.com/en/List_of_indoor_arenas_in_Africa
Thanks for posting a bridge.👏👏👏Hata ukilia huwezi badili ukweli huu[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1597728
According to u[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hamna underpass na hamtawaikuwa nayo. Hamna indoor Arena na pia hamtawaikuwa nayo. Case closed.
Ebu tuonyeshe indoor Arena yoyote ya tent. Ukinionyesha nahama JF for good.hvi ww unaushamba sana naona 😀😀 kwani ni lazma indoor arena itumie matofauli
wakenya munamatatizo ya ubongo au
yani ni wajinga sana hawa watu 😂😂😂Skia sitabishana na wewe mpka ufike Next Door arena uone jengo lake Etc..maaana nikupeteza Nguvu
Hata wewe mwenyewe unajua kuwa hamna, you are just trying to force things.According to u[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kilio hakitasaidia bali facts, narudia tena hamna infrastructure zipo Nairobi ikakosekana Dar ila kuna infrastructure zipo Dar huwezi kuta kenya nzima, poleni sana Wakenya [emoji3][emoji3][emoji3]Thanks for posting a bridge.[emoji122][emoji122][emoji122]
Unamaanisha hii?Hahahaaa, umetaka underpass umepewa ss zamu yako na ww, lete japo mita moja ya hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1597720
Pole ndugu. Kubali yaishe 😂 😂Hii ni wikiepdia na wengine humo wame post halls..hata sisi tukitaka tunaweza update halls zetu tukaziweka
Tunazo za reliNionyeshe yenu ya mita moja [emoji23]