Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

CBD ni moja. Hata ninyi mna CBD moja, hizo glass tatu mnazoweka hapa kila siku. Ama ulikuwa unataka nikuwekee westlands na upperhill?
Angalia hapa km unaziona blue towers ila nyie lazima ionekane cbk [emoji116][emoji116]
tapatalk_1596313529689.jpeg
 
Wakenya hawajawahi kukubali chochote kinachofanywa na Tz hata kama viongozi wao wanaonesha dhahiri shairi kutaka kujifunza kutoka Tz lkn Wakenya wa humu hawakubali, ss nashangaa WaTz wa humu kuleta Shobo na kujifanya wapo fair, fairness gn unatuletea humu? Hatutakuelewa kabisa cz hao unaowapa credit wao hawakupi hata ufanye nn ss hii ndo nn?

WaTz wacheni kuturudisha 60s miaka ambayo WaTz wengi walikuwa na roho ya utu ambayo imepelekea leo cc watoto zao tuishi mazingira km haya, hawa jamaa ni wakuwakataa kivyovyote vile hawafai kabisa na hawapaswi kusifiwa kwa chochote kile cz hata wao hawako fair na ni washenzi kabisa na hawaitakii mema nchi yetu.

Mm nikiona mTz anasifia kenya kivyovyote vile namuona km msaliti na anayejipendekeza kwa mijitu isiyo na shukurani.

Wacheni mambo yenu bhn, kwn Wakenya wa humu Jf hawajui km tunaenda kwenye right direction? Mbn hawasifii, je hawajui km serikali yao imejaa ufisadi? Mbn hawakubali, ss ninyi WaTz mbn mnaleta utanzania wenu wa 1960s wacheni mambo yenu bhn.
Abadan ,abadan Mkunya hatokaa akapewa fairness na Wazalendo...tuliwapa enzi hizo wakatuona ma Goi goi..
Huyo mwenye kujipendekeza ashuke zake huko huko...asitupangie na kujifanya mwema..Mkunya ni mkunya tuu mpaka Kiama.
 
Back
Top Bottom