Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Mombasa...
Hapa tukiweka three buildings na BRT, ni Dar
Mombasa...
bila kusahau kuweka hii😂😂👇👇
dar hakuna uchafu kama huo hata mwanza huwez pata uchafu huo mark my words😀
Mombasa is your level kaka, nilijua hili litakuamusha 😂 😂 😂😂dar hakuna uchafu kama huo hata mwanza huwez pata uchafu huo mark my words😀
ni level ya mwanza hata hvo mwanza its modern city haina uchafu huo 😂😂😂Mombasa is your level kaka, nilijua hili litakuamusha 😂 😂 😂😂
Hata tarehe ya mazungumzo haijapangwa lakini Ethiopia anaendelea kujaza dam, lengo la Egypt ni kuilazimisha Ethiopia kusubiri kwanza wafikie makubaliano ndio wajaze hilo bwawa, kumbuka kwamba mazungumzo yamefanyika kwa miaka zaidi ya minne bila kufikia muafaka.
The Ethiopian-Egyptian Water War Has Begun
Unapenda kujichocha sana na ukweli uko wazi, 😂 😂😂,ni level ya mwanza hata hvo mwanza its modern city haina uchafu huo 😂😂😂
Sio kweli unayosema kaka, mvutano mkubwa upo katika maeneo yafuatayoMvutano mkubwa upo kwenye kipindi cha kujaza hilo bwawa. Ndio bado hapajapatiwa ufumbuzi. Ethiopia anavyojaza bwawa saivi bado yuko katika good track maana amegawanyisha kujaza hilo bwawa katika stage sita ambazo zitachukua miaka 6. Hivyo hapo Misri anamuangalia tu jinsi anavyojaza hadi pale atakapo ona mtiririko haupo vizuri ndio watakaa. Kumbuka wanajaa kwa kasi saiv maana huko Sudan na Misri saiv wako kwenye mafuriko makubwa baada ya kingo za mto Nile kupasuka kutokana na wingi wa maji kwa mvua zilizonyesha hivyo kwa sasa kuna excess water, wacha wayatumie kwa faida kwa sasa maana hayana pa kwenda.
Na Misri haiwezi ku-risk kuingia vitani na Ethiopia, maana lazima wafikirie repercussions baada ya kupiga hilo bwawa bomu lazima wakumbuke chanzo cha maji yao kitakuwa bado kipio hapo hapo Ethiopia, sasa Ethiopia atayaangalia tu hayo maji yakienda Misri ilihali itakuwa imeharibiwa bwawa lake la billioni za dollar? Hapo diplomasia ndio itatumika zaidi.
Wacha ushenzi. Hamna city Afrika Mashariki yenye density kubwa ya majumba kushinda Mombasa. Kwa density namaanisha majumba mengi katika space kidogo. Umeshawahi kuitazama Mombasa kupitia satellite?dar hakuna uchafu kama huo hata mwanza huwez pata uchafu huo mark my words😀
Sio kweli unayosema kaka, mvutano mkubwa upo katika maeneo yafuatayo
1)Kipindi cha kujaza bwawa, Egypt na Sudan wanataka kati ya miaka 12 hadi 21, Ethiopia anataka Mika 6.
2)Kiwango cha maji ambacho Ethiopia watakiachia kipindi cha kiangazi, Egypt wanataka kisiwe chini ya Mita za ujazo 40B, Ethiopia inataka 29B.
3) Hayo makubaliano yakubalike na kusainiwa kuwa yawe ni mkataba wa kimataifa, Ethiopia hataki usainiwe kuwa mkataba wa kimataifa, anataka yabaki tu kuwa ni makubaliana ya nchi kwa nchi.
Ethiopia wanaweza kuyatia maji sumu. Sasa nashindwa mbona joto la jiwe anadhani hii mambo ni rahisi tu. Egypt lazina ajichunge maana Blue Nile inayotokea Ethiopia ndio inazalisha 85% ya maji ya Nile yanayofika Egypt. Yaani wanaweza kuchimba mtaro na kuudivert mto huo wakati wa kiangazi na itabidi Egypt wakuje kuomba msamaha wakitembea kwa magoti. Yaani ubomb nchi ambayo ina uwezo wa kukunyima maji au hata kuutia sumu? Joto hili jambo sio rahisi kama unavyoichukulia.Mvutano mkubwa upo kwenye kipindi cha kujaza hilo bwawa. Ndio bado hapajapatiwa ufumbuzi. Ethiopia anavyojaza bwawa saivi bado yuko katika good track maana amegawanyisha kujaza hilo bwawa katika stage sita ambazo zitachukua miaka 6. Hivyo hapo Misri anamuangalia tu jinsi anavyojaza hadi pale atakapo ona mtiririko haupo vizuri ndio watakaa. Kumbuka wanajaa kwa kasi saiv maana huko Sudan na Misri saiv wako kwenye mafuriko makubwa baada ya kingo za mto Nile kupasuka kutokana na wingi wa maji kwa mvua zilizonyesha hivyo kwa sasa kuna excess water, wacha wayatumie kwa faida kwa sasa maana hayana pa kwenda.
Na Misri haiwezi ku-risk kuingia vitani na Ethiopia, maana lazima wafikirie repercussions baada ya kupiga hilo bwawa bomu lazima wakumbuke chanzo cha maji yao kitakuwa bado kipio hapo hapo Ethiopia, sasa Ethiopia atayaangalia tu hayo maji yakienda Misri ilihali itakuwa imeharibiwa bwawa lake la billioni za dollar? Hapo diplomasia ndio itatumika zaidi.
Hii size yake Tanga
Tony unanichekesha sana, inaonekana hujapitia kwa undani "International politics and relations". Maji yote na vyanzo vyake ambavyo vinahusisha nchi zaidi ya moja yanalindwa na sheria za UN. Hawawezi kuyachafua au kuyaujumu kwa njia yoyote, Satellite zinafuatilia dunia nzima kuhakikisha kwamba hakuna sheria yoyote ya UN inayokiukwa, atakayekiuka ujue ameikosea dunia nzima lazima atapata adhabu.Ethiopia wanaweza kuyatia maji sumu. Sasa nashindwa mbona joto la jiwe anadhani hii mambo ni rahisi tu. Egypt lazina ajichunge maana Blue Nile inayotokea Ethiopia ndio inazalisha 85% ya maji ya Nile yanayofika Egypt. Yaani wanaweza kuchimba mtaro na kuudivert mto huo wakati wa kiangazi na itabidi Egypt wakuje kuomba msamaha wakitembea kwa magoti. Yaani ubomb nchi ambayo ina uwezo wa kukunyima maji au hata kuutia sumu? Joto hili jambo sio rahisi kama unavyoichukulia.
Wacha ushenzi. Hamna city Afrika Mashariki yenye density kubwa ya majumba kushinda Mombasa. Kwa density namaanisha majumba mengi katika space kidogo. Umeshawahi kuitazama Mombasa kupitia satellite?





Jambo hili linawatesa sana wakenya
View attachment 1584512
Dar such are very few, Nairobi expressway is loading, three level interchange zitakua kadhaa 😂 😂Jambo hili linawatesa sana wakenya
View attachment 1584512