Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

maskini likoni bridge imebakia ndoto ya miaka 50 sasa 😂😂😂👇👇👇👇
78235311-D4E7-4C78-9DEA-9674D2FF51D7.jpeg
F4B73C91-4E10-4DB3-A097-B376998A0EC1.jpeg
 
Mombasa is the oldest city in Kenya and one of the oldest cities in Afrika. Sasa wewe endelea kukenua meno. Hata New york ina majengo ya kisasa na majengo ya zamani.
na ndio ushuzi uliobakia kenya sasa mombasa 95% ni magofu haya utasema newyork 90% ni magofu just be serious hvi newyork unaeza fananisha na mombasa au???😂😂😂😂😂
 
thika nayo ni ushuzi mtupu 😂😂😂 try to be serious kidogo

You cant level, hapa umekwepa😂😂😂😂, weka Mwanza basi, video drone, kote kote na uchumi wake, facts always kill your arguments, inabaki kua domo domo tu, of which arguing with ignorance ni ngumu mno!, huwezi convince ama kubishana na ignorant mind ukashinda, wewe mbishi sana ata mahali ambapo haustahili kubishana lazima ubishe😂😂😂
 
You cant level, hapa umekwepa😂😂😂😂, weka Mwanza basi, video drone, kote kote na uchumi wake, facts always kill your arguments, inabaki kua domo domo tu, of which arguing with ignorance ni ngumu mno!, huwezi convince ama kubishana na ignorant mind ukashinda, wewe mbishi sana ata mahali ambapo haustahili kubishana lazima ubishe😂😂😂
siwezi fananisha mwanza na ushuzi huo never yani sina hata muda huo kwanza maliza mikoa midogo kama iringa na tabora na kahama alaf pamabna na mwanza sasa
 
Roads kaa kando kabisaaa, mnazunguka zunguka sehemu chache sana, changing angles, and using camera cosmetics, interchanges/flyovers, bado sana., three level imewazengua kweli, piga hatua North, East West na South ya Dar road infrastructure tuone ushuzi mtupu, I want drone views. Hapa Dar bado sana only kwa debate(domo domo).,
miaka minne nchi imefikisha paved road 13000km ww hushangai na 2000km ziko under construction 😃😃😃 bado unawaza kua hii tanzania ya 90s
 
wanashindwa kulipa mishahara madaktari bado watu wanaongelea GDP


Sasa nchi ikiwa na industrial strikes ina maana mumewapiku ama GDP yao ni hafifu? this is a common occurrance ata in developed economies across the globe, KNH wanalalamika serikali haijatimiza makubaliano ya maktaba ya nyongeza ya mishahara 😂😂😂😂😂😂😂 , and for your information nina hakika mishahara yao kwa sasa ni zaidi ya wale wenu, na bado wanalia lia😂😂😂 you are too pedestrian in your argument, nilikuambia ukachukue application form ya Dodoma Uni then DM me ndakulipia karo, mambo ya uchumi uko ovyo, stick to your lane ya mapicha baby😂😂😂😂 unaletea Tz aibu.
 
Back
Top Bottom