ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
mm naona magofu tu ๐๐ ukitaka density au concrete jungle gusa sehemu kama kariakoo uone dunia nyingineKwani hayo ni mavi au mikojo? Wewe unaona nini kwenye hio picha?
mm naona magofu tu ๐๐ ukitaka density au concrete jungle gusa sehemu kama kariakoo uone dunia nyingineKwani hayo ni mavi au mikojo? Wewe unaona nini kwenye hio picha?
Mombasa is the oldest city in Kenya and one of the oldest cities in Afrika. Sasa wewe endelea kukenua meno. Hata New york ina majengo ya kisasa na majengo ya zamani.pamoja na makeup ya kiwango cha juu lakini magofu yako pale pale hayaondoki ๐๐๐๐๐๐๐
View attachment 1584704
na ndio ushuzi uliobakia kenya sasa mombasa 95% ni magofu haya utasema newyork 90% ni magofu just be serious hvi newyork unaeza fananisha na mombasa au???๐๐๐๐๐Mombasa is the oldest city in Kenya and one of the oldest cities in Afrika. Sasa wewe endelea kukenua meno. Hata New york ina majengo ya kisasa na majengo ya zamani.
maskini likoni bridge imebakia ndoto ya miaka 50 sasa ๐๐๐๐๐๐๐
View attachment 1584719View attachment 1584720
thika nayo ni ushuzi mtupu ๐๐๐ try to be serious kidogo
siwezi fananisha mwanza na ushuzi huo never yani sina hata muda huo kwanza maliza mikoa midogo kama iringa na tabora na kahama alaf pamabna na mwanza sasaYou cant level, hapa umekwepa๐๐๐๐, weka Mwanza basi, video drone, kote kote na uchumi wake, facts always kill your arguments, inabaki kua domo domo tu, of which arguing with ignorance ni ngumu mno!, huwezi convince ama kubishana na ignorant mind ukashinda, wewe mbishi sana ata mahali ambapo haustahili kubishana lazima ubishe๐๐๐
Umefika Venice city Italy?na ndio ushuzi uliobakia kenya sasa mombasa 95% ni magofu haya utasema newyork 90% ni magofu just be serious hvi newyork unaeza fananisha na mombasa au???๐๐๐๐๐
leta picha hapa tuone tufananishe na ushuzi unaoitwa mombasa ๐๐๐Umefika Venice city Italy?
Pax capacity ikoje
Roads kaa kando kabisaaa, mnazunguka zunguka sehemu chache sana, changing angles, and using camera cosmetics, interchanges/flyovers, bado sana., three level imewazengua kweli, piga hatua North, East West na South ya Dar road infrastructure tuone ushuzi mtupu, I want drone views. Hapa Dar bado sana only kwa debate(domo domo).,sitaki hasira ๐๐๐๐๐๐View attachment 1584690View attachment 1584691View attachment 1584692View attachment 1584693
miaka minne nchi imefikisha paved road 13000km ww hushangai na 2000km ziko under construction ๐๐๐ bado unawaza kua hii tanzania ya 90sRoads kaa kando kabisaaa, mnazunguka zunguka sehemu chache sana, changing angles, and using camera cosmetics, interchanges/flyovers, bado sana., three level imewazengua kweli, piga hatua North, East West na South ya Dar road infrastructure tuone ushuzi mtupu, I want drone views. Hapa Dar bado sana only kwa debate(domo domo).,
over 5m pax / yrPax capacity ikoje
wanashindwa kulipa mishahara madaktari bado watu wanaongelea GDP