Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee namiliki ekari kadhaa za hii kitu, in two years nanunua Mercedes Benz CLS ya Kibabe sana, Nishachoka na matoyota *****
Ebhana kwetu mbeya tukuyu kule ninampango nitafute shamba walau niweke miche yangu 500 tu nadhan after 3 years ntaonaa positive results nashuuda nyingi sana mimi nina ndugu zangu wawili mashemeji zangu mmoja ameshanunua volvo mpya na amejenga nyumba mbili ila uyu mwingine amenunua crown mwaka wa 4 huu anayo na amejenga nyumba kali.
 
Ebhana kwetu mbeya tukuyu kule ninampango nitafute shamba walau niweke miche yangu 500 tu nadhan after 3 years ntaonaa positive results nashuuda nyingi sana mimi nina ndugu zangu wawili mashemeji zangu mmoja ameshanunua volvo mpya na amejenga nyumba mbili ila uyu mwingine amenunua crown mwaka wa 4 huu anayo na amejenga nyumba kali.
Chuma io hapo jamaa kanunua ni pesa ya maovacado tu.
FB_IMG_1600494236826.jpg
 
mkuu inachukua mda gani mti kuanza kuzaa matunda vizuri, na kwa eka moja inahitaji mtaji wa kiasi gani? nataka niingie namimi huko
Mkuu ni Miaka mitatu tu unaanza kuvuna, ekari moja kwa Iringa unahitaji approximately 500-600k kuwekeza, kununua shamba, kuliandaa, samadi, mbegu na nguvukazi, kuna extra gharama pia kwenye umwagiliaji na samadi ambazo zinakuja as you move on. Hapa ni shambani kwangu hii ina mwaka mmoja na nusu tu na kwa sasa parachichi za kula na ugali tu unapata..

20200919_090312.jpg
 
Mkuu ni Miaka mitatu tu unaanza kuvuna, ekari moja kwa Iringa unahitaji approximately 500-600k kuwekeza, kununua shamba, kuliandaa, samadi, mbegu na nguvukazi, kuna extra gharama pia kwenye umwagiliaji na samadi ambazo zinakuja as you move on. Hapa ni shambani kwangu hii ina mwaka mmoja na nusu tu na kwa sasa parachichi za kula na ugali tu unapata..

View attachment 1573982
Me nmezoea kuona mti wa Avocado ukiwa mkubwa ndo unazaa au kuna mbegu fupi?
 
Mkuu ni Miaka mitatu tu unaanza kuvuna, ekari moja kwa Iringa unahitaji approximately 500-600k kuwekeza, kununua shamba, kuliandaa, samadi, mbegu na nguvukazi, kuna extra gharama pia kwenye umwagiliaji na samadi ambazo zinakuja as you move on. Hapa ni shambani kwangu hii ina mwaka mmoja na nusu tu na kwa sasa parachichi za kula na ugali tu unapata..

View attachment 1573982
Hahaa sio pw komaa zihudumiee. Zimetoa mamilionea wenginee wengiii tuuu
 
Back
Top Bottom