Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hujui unachoongea huu ugawaji wa strategic lands utakuja kutugharimu tusiwe limbukeni wa kufikiria kila kitu Wachina! Kama tunajenga Bus Terminal Mbezi Luis, tunashindwa nini Ubungo?
mkuu upo sawa ila si kila kitu ijenge serikali.....maana hata hilo jengo likijengwa lipo Tanzania halipo china,,
kuna majengo mangapi yamejengwa na wawekezaji....mbona maisha yanaendelea na kodi tunakula....

pia jaribu kurudi back kipindi kile cha nyuma Mlimani city ilijengwa na nani na sasa ipo kwenye himaya ipi....?

mi sioni tatizo
 
Good move makubaliano na mwekezaji wa Mchuchuma na Liganga yanaendelea vizuri!
Ni mradi wenye components nyingi sana, kwanza una package ya SGR (kusafirisha chuma kutoka kiwandani to port) , umeme (kutoka kwenye coal utaotumika kuprocess chuma na mwingine utaingizwa kwenye grid), coal na chuma

Ni mradi ambao ukifanikiwa utaibadili kabisa Southern Highlands

Kuna mahali nimesoma reserves ya iron ores na coals zilizopo mchuchuma na liganga zinaweza kutosheleza mahitaji ya chuma dunia nzima kwa miaka mi5 mfululizo.
 
surely, kama mwekezaji wa mchuchuma na liganga yupo.. hiyo SGR ni muhimu kujengwa fasta!

now we will have 3 busiest ports in TZ along Indian ocean
1. Dar
2. Tanga
3. Mtwara
Ile ya Tanga-Arusha-Musoma vp? inaweza kushindana?
 
Ni mradi wenye components nyingi sana, kwanza una package ya SGR (kusafirisha chuma kutoka kiwandani to port) , umeme (kutoka kwenye coal utaotumika kuprocess chuma na mwingine utaingizwa kwenye grid), coal na chuma

Ni mradi ambao ukifanikiwa utaibadili kabisa Southern Highlands

Kuna mahali nimesoma reserves ya iron ores na coals zilizopo mchuchuma na liganga zinaweza kutosheleza mahitaji ya chuma dunia nzima kwa miaka mi5 mfululizo.
Maamaee five years ataree mkuu [emoji122][emoji122]
 
Inasemekana katika ujenzi wa SGR, construction materials ghali zaidi ni rails, huu mradi ukikamilika rails za SGR tutakua tunazipata kama tunaokota maembe kipindi cha msimu so usishangae Tanzania nzima kukatandazwa SGR 2 lanes.
We bwana wacha iyo maneno bwana unakimbiza watu humu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
poleni sana majirani,,imani yenu itawaponya
IMG_20200919_002934.jpg
 
Ni mradi wenye components nyingi sana, kwanza una package ya SGR (kusafirisha chuma kutoka kiwandani to port) , umeme (kutoka kwenye coal utaotumika kuprocess chuma na mwingine utaingizwa kwenye grid), coal na chuma

Ni mradi ambao ukifanikiwa utaibadili kabisa Southern Highlands

Kuna mahali nimesoma reserves ya iron ores na coals zilizopo mchuchuma na liganga zinaweza kutosheleza mahitaji ya chuma dunia nzima kwa miaka mi5 mfululizo.
Hivi hizi reli serikali haiwezi jenga kiwanda? Maana nchi za Afrika ndio zinaanza kujenga reli, soko lipo
 
Ni mradi wenye components nyingi sana, kwanza una package ya SGR (kusafirisha chuma kutoka kiwandani to port) , umeme (kutoka kwenye coal utaotumika kuprocess chuma na mwingine utaingizwa kwenye grid), coal na chuma

Ni mradi ambao ukifanikiwa utaibadili kabisa Southern Highlands

Kuna mahali nimesoma reserves ya iron ores na coals zilizopo mchuchuma na liganga zinaweza kutosheleza mahitaji ya chuma dunia nzima kwa miaka mi5 mfululizo.
What! Asante Mungu kwa kuibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom