President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Kutoka Kigamboni kwenda darajaniHuku main land najua ...ila nilikuw naulizia upande wa kigambon ambapo ujenzi wake ndio unamalizikia kama bada ya wki mbil zijazo ivi...mkuu
Kutoka Kigamboni kwenda darajaniHuku main land najua ...ila nilikuw naulizia upande wa kigambon ambapo ujenzi wake ndio unamalizikia kama bada ya wki mbil zijazo ivi...mkuu
Ninakubaliana na wewe katika kuandika, lakini haitobadilisha tabia ya wakenya kuandika uongo, hao ni tabia yao kufanya lolote ili kujikweza, hicho wanachokifanya sio uandishi ila ni udanganyifu, jambo kamwe hawawezi kuliacha kwasababu hawana vitu vingi vya kuizidi Tanzania kama hawstodanganya, hilo ndio linasababisha mivutano na malumbano katika mitandao mbalimbali, wakenya wanaanzisha uzushi na watanzania wanajibu.Mnaona mitandao jinc ilivyowaharibu Wakenya mwishowe wakajiona wao ni Superior than us, hii yote ni kwasababu WaTz tulilala mnoo but I hope now thinks are different na tunatakiwa tuanze ku publish upya mambo yetu, tuwe na tabia ya kupublish vitu kwenye mitandao tusiishie tu humu wakuu, mambo mengi yanatakiwa yaandikwe upya cz Wakenya wameharibu sn mambo huko kwenye mitandao na hii ilipelekea hata kuyumba sekta ya utalii.
Naomba wakuu tuandike upya hizi data tusiishie humu tu hawa wapuuzi wametuharibu sn.View attachment 1573249
Barabara pana hadi raha.Kutoka Kigamboni kwenda darajani
Nimecheka sana eti nairobi ni most populated city than DarNinakubaliana na wewe katika kuandika, lakini haitobadilisha tabia ya wakenya kuandika uongo, hao ni tabia yao kufanya lolote ili kujikweza, hicho wanachokifanya sio uandishi ila ni udanganyifu, jambo kamwe hawawezi kuliacha kwasababu hawana vitu vingi vya kuizidi Tanzania kama hawstodanganya, hilo ndio linasababisha mivutano na malumbano katika mitandao mbalimbali, wakenya wanaanzisha uzushi na watanzania wanajibu.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app



Huku main land najua ...ila nilikuw naulizia upande wa kigambon ambapo ujenzi wake ndio unamalizikia kama bada ya wki mbil zijazo ivi...mkuu
Safi km zimebaki 6line zilezile....kazi nzuriKutoka Kigamboni kwenda darajani
Sawasawa mkuu ndio nlikuw naulizie kile kipanda kilich baki....Six lanes kaka. Tena sasa hivi imeisha yote hadi kile kipande korofi. Napita hapo daily.

Hivi kwanini tuwape Wachina prime land like that? Hivi BRT wenyewe hawawezi kutafuta finances kujenga wenyewe shopping mall?Kitu cha Ubungo hiki hapa, nimepiga sasa hivi.
View attachment 1573195
View attachment 1573196
View attachment 1573197
View attachment 1573198
View attachment 1573199
View attachment 1573200
View attachment 1573201
BRT ni wazembe sana, nafuu wapewe Suma JKTHivi kwanini tuwape Wachina prime land like that? Hivi BRT wenyewe hawawezi kutafuta finances kujenga wenyewe shopping mall?
Better maana mimi binafsi naona hilo jengo ni la kawaida saana na nothing to be happy about! That piece of land is the most sought after now kwanini wasitafute mkopo wakajenga wenyewe? JPM aingilie kati hii maneno tumeuza Polisi Oysterbay sasa tunauza hapa tena? Hivi tuna akili kweli?
hapo ndipo utagundua kuwa Mond ana upepo mkali sana na hicho nficho kitakachowatoa macho wamarekani na nchi nyinginezo...Mpaka saa hizi masaa manne yamepita toka Keys aachie album, huwez amini nyimbo zngne zote zna viewers 4k ilojitahidi ina 8k...
ILA WASTED ENERGY ft Platinumz ina viewer 45k.. Hahahahah wabongo ni shida asee
Hii Kali yaani tunawamulika mpaka chumbani ,yajayo yanafurahishaNdio maaana jamaa wanachuki sasa. Awamu ya tano imefanya wasichotarajia
Huu mziki ni next level kiukwel naungojea snaa
Better maana mimi binafsi naona hilo jengo ni la kawaida saana na nothing to be happy about! That piece of land is the most sought after now kwanini wasitafute mkopo wakajenga wenyewe? JPM aingilie kati hii maneno tumeuza Polisi Oysterbay sasa tunauza hapa tena? Hivi tuna akili kweli?
Hujui unachoongea huu ugawaji wa strategic lands utakuja kutugharimu tusiwe limbukeni wa kufikiria kila kitu Wachina! Kama tunajenga Bus Terminal Mbezi Luis, tunashindwa nini Ubungo?maeneo yapo mengi mkuu... hao wachina ndo private sector wenyew.. ardhi probably wameinunua na kodi nyingine wataendelea kulipa.. tunalilia secta binafsi imekufa lkn wakifanya kitu mnalalamika


