The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Wategemee hilo kutokea cz hapa tunasubiri miradi ianze kuleta returns zen tunakaa mezani kumshawishi mzee asubiri kwanza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kweli kabisa, wakenya kama kuna jambo wasilotaka kulisikia toka Tanzania ni kumuongezea muda Magufuli baada ya kumaliza kipindi chake cha uongozi, yaani tukifanikiwa kumshawishi na kumuongezea muda wakenya wengi watajinyonga [emoji23][emoji23]