Kweli kabisa, maswala ya miundombinu hayahitaji kutegemea soko lililopo bali yanatengeneza soko na miundo mbinu ya barabara na reli ipo so reliable kwa kuatract wawekezaji.Ndio maana nasupport miundombinu ya kujenga uchumi wetu, haya mambo sijui mpaka uganda sijui Burundi ajicommit ndio tujenge, yaani tunajengea majirani badala ya sisi.
Imagine reli ya kenya ingeenda mpaka uganda ikaingia Rwanda, ina maana sisi tusingejenga?
Raisi ajaye baada ya Magufuli hana excuse, sababu umeme utakuwepo umesambaa mpaka vijijini, hospitali na shule zitakuwepo labda za kuongezea chache,
Viwanja vya ndege vingi vitakuwa vimejengwa,
2025 na kuendelea reli zijengwe ikiwa ni pamoja na kupanua barabara, pamoja na miradi ya maji, na kusambaza gesi. Hivi ndio vitu ninavyoviona vitaendelea kuhitajika kwa sana.
Tukizubaa baada ya miaka 20 au 30 hata hii reli tunayojenga sasa inaweza zidiwa tukahitaji double track.
Kwangu mimi zijengwe tu, kurahisisha usafiri wa ndani.
Hii ni kuthibitisha kwamba, ATCL haijakatazwa wala kusumbuliwa kuanza Safari za kwenda Nairobi kama ambavyo baadhi yetu tumekua tukifikiria. Haiwezikani hata kidogo ATCL ikataliwe kibali cha kutua Nairobi na bado serikali yetu uruhusu KQ kuja Tanzaniamagu angewakazia kama wiki mbili hvi [emoji28][emoji28] kafanya haraka sana
Hatujawahi kukatazwa wala kusumbuliwa kwenda Nairobi, business plan ya ATCL imeiweka route ya Nairobi baada ya kuanza route ya China.but ndege zetu kwenda huko.. shida ni nn?
View attachment 1571322
Geza ndio pekee hudai eti tumekatazwa, on a reciprocal basis kwenye aviation Hakuna hicho kitu.Hii ni kuthibitisha kwamba, ATCL haijakatazwa wala kusumbuliwa kuanza Safari za kwenda Nairobi kama ambavyo baadhi yetu tumekua tukifikiria. Haiwezikani hata kidogo ATCL ikataliwe kibali cha kutua Nairobi na bado serikali yetu uruhusu KQ kuja Tanzania
ATCL wapo makini sana katika kufungua njia mpya, Magufuli alishawaambia kwamba hataki kusikia kitu hasara kinatokea tena ATCL. Katika akili ya biashara, ni kosa kubwa kuanza na njia ambazo kuna competition kali, njia ya Nairobi, Ethiopia, Qatar, Instambul Uturuki, hizo njia sio za kuanza nazo kama ndege zako ni chache, lazima uwe na ndege za kutosha kuingia katika hizo njia.Geza ndio pekee hudai eti tumekatazwa, on a reciprocal basis kwenye aviation Hakuna hicho kitu.
Utasikia wakijidanganya kwamba wanaongoza kwa internet users wengi 😂😂😂😂
Kenya iipite Tanzania kwa internet users wakati bundles are two times expensive than Tanzania 🤔
Karudi baada ya ban kuwa lifted [emoji121][emoji121][emoji3][emoji3]
YouTube subscriptions are for kids and dumb people like you. Go to twitter and you will get your answers there.tuonyeshe impact hata moja ya hao subscribers[emoji28][emoji28],maana hata total umber ya subscribers kwenye baadhi ya channels youtube tumewazidi.
Aje apa atueleze anajiskiaje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28]mjinga ningekuwa mimi ningekausha tu maana ni aibu kubwa.
YouTube subscriptions are for kids and dumb people like you. Go to twitter and you will get your answers there.
Malaya.acha upumbavu nugu.