Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


You need to be either a non-East African or a stupid East African to not realize that the commenter is a Tanzanian. 😂😂 No Kenyan uses the word beberu, no Kenyan doesn't know Kismayu is not a Kenyan city, no Kenyan uses the word 'school' in the middle of a Swahili sentence and no Kenyan will use the word 'nawaomba radhi' in an informal statement. lol.😅😅😅
 
huwa nasemaga.. mpira wa miguu Tanzania tunaupenda na tumeshauweka moyoni kbsa .. kilichobaki ni serikali ni kujenga viwanja kama hiv miji mikuu kwanza kama mitatu hiv.. Dodoma, Morogoro, Mbeya au Mwanza au Arusha kule

nashukuru Magu alisema, hata polepole juzi alisema secta ya michezo imehusika sana na kukua kwa uchumi, hivyo hataiacha hivhiv bila kufanya kitu awamu hii inayofuata
Hivi majirani wanafahamu kuwa kuna watz wanaacha magari wanaotrot kutoka mkoa 1000km na ushee kuipa salute shindano la simba vs yanga
 
You need to be either a non-East African or a stupid East African to not realize that the commenter is a Tanzanian. No Kenyan uses the word beberu, no Kenyan doesn't know Kismayu is not a Kenyan city, no Kenyan uses the word 'school' in the middle of a Swahili sentence and no Kenyan will use the word 'nawaomba radhi' in an informal statement. lol.
Wakenya mnamatatizo sana hivi unawezaje muita mtu ambaye hamjuani stupid . Haya we mwenzetu genius mi sina la kusema
 
Views from an Airbnb.

IMG_1220.jpg

IMG_1219.jpg
 
You need to be either a non-East African or a stupid East African to not realize that the commenter is a Tanzanian. No Kenyan uses the word beberu, no Kenyan doesn't know Kismayu is not a Kenyan city, no Kenyan uses the word 'school' in the middle of a Swahili sentence and no Kenyan will use the word 'nawaomba radhi' in an informal statement. lol.
Mkatae na huyo
Screenshot_20200822-171824.jpg
 
Back
Top Bottom