Wenge linakusumbua, haikuhusu vipi wakati ndo imekuleta hapaNairobi hainihusu
Wenge linakusumbua, haikuhusu vipi wakati ndo imekuleta hapaNairobi hainihusu
Sasa umeumwa auWenge linakusumbua, haikuhusu vipi wakati ndo imekuleta hapa
Kenya haitakaa ije kuendelea kamwe mana wao kwa wao hawapendani, mkenya wa Nairobi atakwambia Mombasa haimuhusu mkenya wa Mombasa atakwambia Nairobi haimuhusu ndiyo maisha yao hayo wana ubaguzi uco na kipimo.Nairobi hainihusu
Bora tu umejitoa kwenye kuusifia huo utopolo maana watu wa nairobi wanawadharau watu wa mombasa kinyama halafu isitoshe wanafanya kila namna job opportunities zihamishiwe nairobiNairobi hainihusu
mibongolala kwa ujuaji na umbea khaaa!Bora tu umejitoa kwenye kuusifia huo utopolo maana watu wa nairobi wanawadharau watu wa mombasa kinyama halafu isitoshe wanafanya kila namna job opportunities zihamishiwe nairobi
assnte 😂😂🤩💉💉💉💉Nairobi hainihusu
Tantarira hzoBora tu umejitoa kwenye kuusifia huo utopolo maana watu wa nairobi wanawadharau watu wa mombasa kinyama halafu isitoshe wanafanya kila namna job opportunities zihamishiwe nairobi



Unavumilia tu hizi sindano hatuwagongi za matako sasa hivi tunawachapa za macho soon mtakuwa vipofu. Tunataka muisaliti nchi yenu wenyewe, mfano mzuri unaonekana kwako kutoitambua Nairobi.Sasa umeumwa au
Kila watu wana serekali yao, sasa unataka watu wa mombasa au nairobi waandamane kisa wenzao hawajalipwa hku ukiwa tayari wewe ushalipwa..Kenya haitakaa ije kuendelea kamwe mana wao kwa wao hawapendani, mkenya wa Nairobi atakwambia Mombasa haimuhusu mkenya wa Mombasa atakwambia Nairobi haimuhusu ndiyo maisha yao hayo wana ubaguzi uco na kipimo.
Kwn mm nairobi county inanisaidia na nnUnavumilia tu hizi sindano hatuwagongi za matako sasa hivi tunawachapa za macho soon mtakuwa vipofu. Tunataka muisaliti nchi yenu wenyewe, mfano mzuri unaonekana kwako kutoitambua Nairobi.
Labda ya mbaoKavae miwani uone.
hatari tuishindilie na hiiJust for the record i dont reply to your childish point of view....it sound dummy.., even a child who reached adolencence age has the same manner of playing big boy or girl toward the others by behaving like mature one...,yet he or she has long way to go to reach where others are.....to advice you , back to your normal song called giiidiiipiii
Just to show you developed city in EAView attachment 1544783View attachment 1544784View attachment 1544785View attachment 1544786View attachment 1544788View attachment 1544789View attachment 1544790View attachment 1544792View attachment 1544793View attachment 1544796View attachment 1544797View attachment 1544799View attachment 1544801View attachment 1544803View attachment 1544804View attachment 1544805View attachment 1544807View attachment 1544808View attachment 1544809View attachment 1544810
ujenzi ushaanza ...?..duuuh....,
hawa. jamaa walishikwa sana kooni ,sasa ni bora liishe tu
Tunajua kabisa Wakenya wanaongoza kwa umbea Africa nzimamibongolala kwa ujuaji na umbea khaaa!
mimi nimekulia maeneo ya mipakani na nyie so nyie ndio majirani ninaowafahamu kuliko wote tuliopakana nao na ninaposikia kuhusu mombasa nilichoaminishwa na wakenya wengine ni kuwa watu wa mombasa wanaridhika na vitu vidogo, ni washamba, wanaendekeza dini, wanapenda mteremko na ngonoTantarira hzo
Kwhyo wala hazishtui