Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waache ujinga. Msaada wa Jack Ma ni mtoto wa dada yake uhuru ndio aliuzia serikali ya Kenya hizo vifaa. Yani aliuzia nchi yake vifaa ambavyo ni vyao. Hakuna iliovuka kufika bongo.

Ni kazi ya Samantha ngina hiyo. Na hata mama yake mwaka 2015 alipiga pesa ndefu sana kwenye kashfa hapo afya house. Hiyo wizara uhuru kaachia dada yake Nyokabi ajipigie hela tu na familia yake.

Na Kagwe yafaa akaguliwe maana nae zuzu tu anajua kutamka idadi ya namba za walio athirika tu.
Kazi ipo, mchezo umeanza kujulikana taratibu
 
Kazi ipo, mchezo umeanza kujulikana taratibu
Uhuru amefanya kenya kama ndio brokeside vile ananyonya tu.

afu mnakuja huku kusema mna millionaire wengi kuliko Tanzania? kwa hela chafu za ufisadi???

Budaa kwa politicians kenya iko na mabilionea wengi kushinda bongo.
 
Is like I`m just wasting my time arguing with you. YOU CAN`T BE ALBINO IF YOU HAVE NORMAL PARENTS. Please read the second paragraph in this screenshot
View attachment 1539317
😀😀😀😀😀
Kilaza at your best..you can't be albino if you have normal parents!!!!..nenda kadai ada yako shule uliyosoma ulienda kupoteza muda
 
Uhuru amefanya kenya kama ndio brokeside vile ananyonya tu.



Budaa kwa politicians kenya iko na mabilionea wengi kushinda bongo.

endelea na akili hizo hizo, wenzako wananeemeka na pesa za WB na IMF huku nyie mnalia njaa..

ila polen sana wakenya wote kwa jinsi Uhuru anavyoifanya Kenya shamba la bibi yake
 
Stop your big mouth. carrying genes with normal melanin means you are normal person but you are just a carrier, majority of people including possibly me and you we are normal people but we do carry those genes unknowingly.

Stop your big mouth and accept that is not possible for the whole family to have all members with albinism because gene which carries albinism is a recessive gene not dominant.
Huyo jamaa alisoma biology ya kibera,mbona ni kilaza sana😁🤣

Yaani hakuna analolijua aisee
 
eti was sold to Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23].. Magu si alikataza kupokea hayo mavitu?? afu pia wote tulikuwa tunaangaika/pambana na Corona afu eti watuuzie?[emoji23][emoji23][emoji23].. napenda waziri Mwalimu akane hili jambo, ili huyo jamaa akaangwe vizur huko kwao

jamaa enh.. tag media za kibongo kwenye hio habari ili habari ienee au mtag mwalimu.. ili Mwalimu atoe comment kama ni kweli au lah.. Tanzania isiwe excuses ya ufisadi wao
ni kweli kabisa
 
Mbezi Lois Terminal
IMG_5172.jpg
 
All members of the family can be albino if both mother and father are albinos. You just have to accept that.
Here is how it will be
Albino mother= a/a
Albino father= a/a

All Children will be a/a meaning they will all be albino.
Hahaha, so funny, Hujui hata vitu basic kabisa, ?
Hata secondary hujafika wewe,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya Tanzania haijwahi kugawa mask ya Jack ma kwa wananchi wake, Sasa inakuaje hawa majirani waseme kwamba vifaa vya Corona vilikuja Tanzania?
ujue Tanzania inaitesa sana serikali ya kenya ,,,,,

kinachofanyika kenya kwa sasa ni kuweka attension eatu na kenya bila kuitaja Tsnzania kwenye kanjanja zake huwa wanapoteza radha hivyo ili wasikike lazima waimention Tz
 
ujue Tanzania inaitesa sana serikali ya kenya ,,,,,

kinachofanyika kenya kwa sasa ni kuweka attension eatu na kenya bila kuitaja Tsnzania kwenye kanjanja zake huwa wanapoteza radha hivyo ili wasikike lazima waimention Tz
Hii ni hujuma kubwa ambavyo mpaka sasa nategemea kuskia atua za balozi wetu wa Kenya...hatuwezi kuchafuana hivyo...wanajaribu kuonyesha uwepo wa corona TZ ama pia wanataka kutuchafua kwamba tunahusika na Ufisadi ulioko kwenye nchi yao...hii ni kusema tunaifanyia serikali yao hujuma.....Nategemea kumskia Balozi wetu leo.
 
Hii ni hujuma kubwa ambavyo mpaka sasa nategemea kuskia atua za balozi wetu wa Kenya...hatuwezi kuchafuana hivyo...wanajaribu kuonyesha uwepo wa corona TZ ama pia wanataka kutuchafua kwamba tunahusika na Ufisadi ulioko kwenye nchi yao...hii ni kusema tunaifanyia serikali yao hujuma.....Nategemea kumskia Balozi wetu leo.
huwa hatuchelewi siunajua...
 
Back
Top Bottom