Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Where is your proof that 80% of albino people have normal parents?
Huu mjadala wenu naufuatilia lkn hapa kidogo imenibidi nipige stop[emoji23][emoji23]
Uliskia wapi hyo 80%?
Anyway, sitaki kuvuruga mada kw sasa

Cc: joto la jiwe
 
Kenya mliruhusu "Dual citizenshi", kwahiyo wazungu wengi walipo Kenya ni kwa ajili ya maslahi yao lakini sio raia kwa maslahi ya Kenya

Ngoja nikupe mfano, Alfred Mutua ana uraia wa Australia na Kenya, lakini huko Australia hana hata kiatu, ila hapo Kenya anajenga Hotels na anafikiria kugombea urais.

Hao raia wa kizungu hapo Kenya wapo kwa ajili ya kuvuna na kuiba mali za Kanya wakishirikiana na wanasiasa wa Kenya na kwenda kuwekeza kwao. Mo Dewji hana hata ndugu mmoja huko India, inawezekana hata India hajawahi Fika.
Waorodheshe hao wazungu ambao wana dua citizenships hapa kenya..
Tena ukiangalia kw mbali, moh dewji ndio mkamuaji ukiwalinganisha na hao wazungu..yani ana control sekta nyeti nyeti sana
 
Ghana wanajenga Interchange ya level 4 na itakua ya pili barani Afrika kwa ukubwa wa level hiyo....

East Africa hata level 3 ile ya kibabe bado (ondoa Pangani Interchange ya NBO na Ubungo in Dar) Tujitahidi na sisi kidogo basiii
 
Mwanza
IMG_5167.jpg

IMG_5168.jpg

IMG_5169.jpg
 
ila kenya muna shida sijapata kuona in my life [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole yake jack ma





eti was sold to Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23].. Magu si alikataza kupokea hayo mavitu?? afu pia wote tulikuwa tunaangaika/pambana na Corona afu eti watuuzie?[emoji23][emoji23][emoji23].. napenda waziri Mwalimu akane hili jambo, ili huyo jamaa akaangwe vizur huko kwao

jamaa enh.. tag media za kibongo kwenye hio habari ili habari ienee au mtag mwalimu.. ili Mwalimu atoe comment kama ni kweli au lah.. Tanzania isiwe excuses ya ufisadi wao
 
eti was sold to Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23].. Magu si alikataza kupokea hayo mavitu?? afu pia wote tulikuwa tunaangaika/pambana na Corona afu eti watuuzie?[emoji23][emoji23][emoji23].. napenda waziri Mwalimu akane hili jambo, ili huyo jamaa akaangwe vizur huko kwao

jamaa enh.. tag media za kibongo kwenye hio habari ili habari ienee au mtag mwalimu.. ili Mwalimu atoe comment kama ni kweli au lah.. Tanzania isiwe excuses ya ufisadi wao
Hii ni mbaya sana,wanataka kuiaminisha dunia pia kwamba korona ilikuwa kubwa ama ni kubwa TZ..
 
😂😂😂😂😂













Waache ujinga. Msaada wa Jack Ma ni mtoto wa dada yake uhuru ndio aliuzia serikali ya Kenya hizo vifaa. Yani aliuzia nchi yake vifaa ambavyo ni vyao. Hakuna iliovuka kufika bongo.

Ni kazi ya Samantha ngina hiyo. Na hata mama yake mwaka 2015 alipiga pesa ndefu sana kwenye kashfa hapo afya house. Hiyo wizara uhuru kaachia dada yake Nyokabi ajipigie hela tu na familia yake.

Na Kagwe yafaa akaguliwe maana nae zuzu tu anajua kutamka idadi ya namba za walio athirika tu.
 
Waache ujinga. Msaada wa Jack Ma ni mtoto wa dada yake uhuru ndio aliuzia serikali ya Kenya hizo vifaa. Yani aliuzia nchi yake vifaa ambavyo ni vyao. Hakuna iliovuka kufika bongo.

Ni kazi ya Samantha ngina hiyo. Na hata mama yake mwaka 2015 alipiga pesa ndefu sana kwenye kashfa hapo afya house. Hiyo wizara uhuru kaachia dada yake Nyokabi ajipigie hela tu na familia yake.

Na Kagwe yafaa akaguliwe maana nae zuzu tu anajua kutamka idadi ya namba za walio athirika tu.

afu mnakuja huku kusema mna millionaire wengi kuliko Tanzania? kwa hela chafu za ufisadi???
 
Back
Top Bottom