Hizo tumeisha kua nazo Tz siku nyingi kabla ya UhuruCha ajabu ni kuwa Mombasa 😁 iliwatangulia so Dar vs Mombasa 😁
I know it is under construction but tayari inaonekana ni ya 4 lanes 😂
Ni mara chache sana sisi kuhusisha miji mingine ya Tz kwenye hii battle lakini kwa wenzetu kila wakiishiwa pumzi na Nairobi yao wanakimbilia Mombasa. So this battle is Dar Vs Nairobi & Mombasa combined.Mtu kasha jitoa akili hata haja ya kumuliz ni kupoteza mudaa......chizi anacheza n wezakemombasa ni kasehem kwa dar....sasa wanaiaminia sna nairobary vile wanaiona inachakazwa ndio wanaumia na kuanzish mada uchwara kudevide attantion....kunya yote niushuzi
View attachment 1533710View attachment 1533711
Hahaha, wajinga hao wajamaa, huo ni mshahara wa Professor mwenye Experience ya zaidi ya miaka kumi huko Kenya, hao ni watu wa kujisifu lakini hawana lolote, waongo Sana hao jamaais this official source???![]()
nawajua vzr sana 😂😂😂 hata hio twitter source ni ya mtu kutoka kenya mjinga fulani hvi 😀😀😀😀Hahaha, wajinga hao wajamaa, huo ni mshahara wa Professor mwenye Experience ya zaidi ya miaka kumi huko Kenya, hao ni watu wa kujisifu lakini hawana lolote, waongo Sana hao jamaa
Sio kweli hao ni watu wa kujisifu, mwambie awake link ya serikali ya Kenya yenye kuonyesha viwango vya mishahara ya watumishi wa Kenya, kila siku madaktari na wauguzi Kenya wanagoma kuomba nyongeza za mishahara kutokana na hali ngumu ya maisha, wangekuwa wanalipwa vizuri wasingekuwa kila mara wanagonaMakusanyo yote yanaenda kwenye matumbo,mwishwa siku,left right ni madeni,hata barabara ya 1km hamuwezi kujenga kwa pesa yenu,mpaka mkope.alafu unajisifia hapa!
Wenzako wanakiri hapa: 10 most beautiful cities in Africa 2020Ligi kuu ya kina Mombasa, Dar es Sluum.
Wakenya 80% wanajua ukweli na wameshajisalimisha kwa Tanzania, Kama ni Vita basi ngome zote za jeshi la Kenya zimeshasambaratishwa, waliobaki ni wale wanajeshi mmoja mmoja wenye kupiga risasi na kukimbia, ndio hawa ambao tupo nao hapa JF.alaf bado wanashindana na tanzania
Lete ya dar jamani tuone vichochoro mjini katiulishatupiwa video uitizame ,unataka kila siku utumiwe.....
we baki na hii kubwa kuliko


Ldar cbd video iko wapi
budaa, hii video ina miezi 9 mpaka saaa toka irekodiwe.
. halafu 2006 youtube iliishakuwa popular nairobi na smartphone.









Mkuu, wakiweka video ya cbd dar nahama nchiNipe picha za CBD ya Dar including streets. Miaka hii yote hamna yeyote ameweka hapa ni mdomo tu!
Ugua pole pole tuhatutaki kukukera asubuhi yote hii.


