Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wewe ni mgeni wa hii thread,hata huijui kwanini watu tumefikia hatua ya kupost picha za Znz na wakenya kupost picha za mombasa.

tulia kijana,acha papara.rudi page kadhaa nyuma na usome baadhi ya comment kwa umakini ndio utajua sababu ya kupost picha za zanzibar.

thread hii umeivamia kwa pupa.
ichoboy01
wakiona vitu vizuri wanavamia tu 😀😀😀😀😀😀😀
 
[/IMG]
b378a04c8c52f215e6b8ca1a83f5a286.jpg
damn!!...that photo reminds me of my apartment i rented in buruu58 some year ago.
 
wenzako walitaka kujua zanzibar ndio hio sasa😀😀😀😀😀😀
hiyo ndio shida ya kuvamia thread na kujifanya mjuaji.nimemshauri kabla hajakurupuka ku-comment arudi page kadhaa nyuma azisome kwa umakini.
 
wakiona vitu vizuri wanavamia tu 😀😀😀😀😀😀😀
wanadhani hili ni jukwaa la MMU kwamba unaweza tu ukavamia ktk thread hata ikiwa page ya ishirini na ukaandika porojo zako tu just like that.

huku lazima uwe mtu wa ku-google sana,kusoma sana na kufatilia EA regional affairs kwa umakini sana.
 
nigerians Congolese Rwandese fall in love with the great Nairobi. ...but these pathetic bitter neighbours of ours.. smh.kama wako Kenya wanajifanya wapole kumbe nyoyo zao zimeoza
Kweli hoja zimeisha!! Mme hamia tena kuwasemea hawa jamaa, lakini pia kumbuka uwepo wa congolese and the like does not symbolize development. Tupe fact acha porojo
Kwanza Nigerians na congolese wamejaa Eastlands sana....
 
tweets from tourist and visitors who have been visiting zanzibar.
cd0bdf8f885434dcc03542e52f859f26.jpg

df24af71635cb16eea1b1c043e2dbd67.jpg

3b9bd4bf080d7f65322e52ce9814b513.jpg

a76e7e96df178bcfcacd516f793d132b.jpg

86477da68f5f89da73b96aaa94ece3f8.jpg

012a11a6972a73d34802a575e5f01ea3.jpg

5d0343e4a43778a730466e6db55ca8ab.jpg

cf6622d59a9cfb2a1072ab60620d2fbb.jpg

378fd4acd9b18f69e5648ff62f85569c.jpg

6c118bea3910bf81db28a150206b9981.jpg

0171611eea97f30ad6193434f57a5072.jpg
 
Back
Top Bottom