Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kweli umeumia sana, mpka umeamua kujitoa akili na kuanza kutumia kamasi kabisa

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Ukimaliza kuliaa wambie shirika lenu la umeme wache kazi
JamiiForums-1791930298.jpg
JamiiForums-2146971657.jpg
 
Dar es Salaam has a long way to go. Nairobi is way ahead.
View attachment 1517867

Hii ni mbolea mnataka kupanda Maua au temporary dump . Hapo pembeni.

Barabara hiyo nzuri, lakini sisi tulikua tunaongelea Sura ya Eneo lenu muhimu ( Around BRITAM, KCB tower and UAP) Tena wewe hapo kuna mwaka ulisema nyaya zote hapo Upper Hili zitakua Underground. Hadi leo spider web kama kawa.

BTW Hiyo si Thika Highway?

IMG_0091.jpg

IMG_0090.jpg
 
Hyo video imekuumiza sana hadi naskia raha..ungeli screenshot yote kuanzia mwanzo uilete pia

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Ukweli imekuchoma na huu uchafu wa sidewalk in upperhill....mko hapa kusifia ...alafu mnaforce tufanane.....tumia macho wa sio akili kuangalia mana najua nimzitoo
Screenshot_20200726-183059.jpg
Screenshot_20200726-183332.jpg
Screenshot_20200726-183011.jpg
JamiiForums237525654.jpg
JamiiForums-2147265653.jpg
JamiiForums-785753769.jpg
JamiiForums627916420.jpg
JamiiForums1127010398.jpg
 
Back
Top Bottom