Video safi sana hii na utakuta wala hajaiangalia zaidi ya kukalia ubishi wa kijinga.Angalia Hii Video mwishoni mwishoni hiyo ndio Kariakoo linganisha na chaos huko kwenu .
Imeumaaa sn poleUozo mtupu walai
Kisha mbona huleti video inayozunguka hapo hapo kariakoo, upanga, ilala jamani
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app








Huyu jamaa mwenye mkokoteni anaunza maji au mzoa Taka.kweli CBD ya Middle income ipo juu.
View attachment 1517720




yaani kenya maji yanauzwa kwa mkokoteni hadi CBDUpper hill ndio mlinganishe na vile vijiji vyenu uchwara kwa miundombinu jamani
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app






, humu sio kijijini? Hivi hawa watembea kwa miguu wanapita wapi hapo Mighty CBD???? 

, yaani hata wapenzi hawana nafasi ya kushikana mikono vizuri . 



Upper hill ndio mlinganishe na vile vijiji vyenu uchwara kwa miundombinu jamani
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
.
i hope kashajifunza kituAngalia na Hii kidogo Buda .
Bado sana and the buildings looks so oldi hope kashajifunza kitu
Wanajitetea na mkokoteni ya kuzoa taka kwa buildings ziko under construction hapo upper hill

.. ni kama wanawadhiaki wakenya.. “si mnajifanya mnafunga anga enh, sasa ngoja tuwaonyeshe sisi tusiofunga anga hali ikoje 🤩”nilisoma sehem kuwa raia wanaweza kuingia au kutoka Russia (kwenda) kwa nchi kama mbalimbali, Tanzania ikiwepo.. kuna jamaa akauliza kwani kuna direct (scheduled) flight ya kutoka Russia kwenda Tanzania, akajibiwa hamna, ila kuna chartered flights.. so it seems kuna watalii wa Russia wanakuja Tanzania
pia mnakumbuka kulikuwa kuna wale 25,000 tourists kutoka Russia wanakuja Tanzania & Zanzibar kwa magrup (500-1000 tourists).. bas inaonekana wanataka kuirudisha
Kingine kipindi hiki tutapata watalii wengi kutoka Russia maana kwenye search engine ya kule kwao searches kuhusu Tanzania zimeongezeka na hapo kwenye kusearch utakuta pia wameangalia na vivutio mbalimbali vinavyopatikana Tz.nilisoma sehem kuwa raia wanaweza kuingia au kutoka Russia (kwenda) kwa nchi kama mbalimbali, Tanzania ikiwepo.. kuna jamaa akauliza kwani kuna direct (scheduled) flight ya kutoka Russia kwenda Tanzania, akajibiwa hamna, ila kuna chartered flights.. so it seems kuna watalii wa Russia wanakuja Tanzania
pia mnakumbuka kulikuwa kuna wale 25,000 tourists kutoka Russia wanakuja Tanzania & Zanzibar kwa magrup (500-1000 tourists).. bas inaonekana wanataka kuirudisha
we hata shule ulisoma kweli??!!..uliona wapi ukubwa ukapimwa kwa kms?Yani wabongolala akili zenu zilipotelea wapi jameni....hapo unajaribu kuamisha watu ni kutoka cbd hadi Westlands.sasa nakupa the whole Westlands cbd peke, ambayo ni kubwa na inahatua (km) same kama hiyo ya kutoka posta hadi makubusho na bado nimetumia fastest routeView attachment 1517054
Wabongo hupenda kujifariji. Using photos during construction. Halafu kung'ang'ania eti. Hayo mabati ni perimeter ya construction. Na kibanda cha wauza chips kwa hao mafundi.unamdangany nani ? Ww upperhill ni slum tena hapoo kwailo jengo ...wadangany wajinga
View attachment 1517669View attachment 1517670
TTB wanavyofanya sio poa.. ni kama wanawadhiaki wakenya.. “si mnajifanya mnafunga anga enh, sasa ngoja tuwaonyeshe sisi tusiofunga anga hali ikoje
”