Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unamdangany nani ? Ww upperhill ni slum tena hapoo kwailo jengo ...wadangany wajinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382]View attachment 1517669View attachment 1517670
Nionyeshe nyumba hapo ni log off jf, unafikiria hata ukijitoa ufahamu ndio nitashtuka

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
We hko kupayuka kote unafikiria unaweza afford ardhi upper hill
 
Lete mtaa ambao unaweza ushindanisha na upper hill bongo[emoji23][emoji23]
Miundo mbinu

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app

Kwenye hiyo Location ya Upper Hill yenye majengo marefu. Na mnadai ni New CBD lakini chini ni majanga .Palitakiwa paonekane mtaa wa maana hadi kwenye barabara zingereflect . Lakini Kama kawa Private Developer kafanya yake , Serikali kila kitu imeachia Mungu, Bora uhai.[emoji23]


IMG_0074.jpg
 
kumbe bandari ya mombasa 80% inamilikiwa na watu binafsi wakiwemo wataliano aise mpaka nimeshtuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]

Daah,Kunyaland inanuka haja kubwa ya mbwa,,,,,,hawa watu wa mombasa wana uchungu sana kuwa sehemu ya hyo Jamuhuri ya mafisadi,,iko siku watarudi nyumbani..Inshallah
 
Tutawezaje shindanisha na hizo spider webs. Sisi tuna style yetu . Mjini kuna Sidewalks za uhakika , pana kama Lane ya gari . Kuna road marking, na signs Muhimu.

Imagine hii ni Magomeni.


View attachment 1517724
Lete kariakoo, ilala, upanga ndio tuone streets zake zinakaaje..
Leo nimeahajua kwn bongo hampendi kuchukua video km hizo..

Upper hill ina barabara kibao buda
 
Kwenye hiyo Location ya Upper Hill yenye majengo marefu. Na mnadai ni New CBD lakini chini ni majanga .Palitakiwa paonekane mtaa wa maana hadi kwenye barabara zingereflect . Lakini Kama kawa Private Developer kafanya yake , Serikali kila kitu imeachia Mungu, Bora uhai.[emoji23]


View attachment 1517718
Lete video buda..mbna unakimbia

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Nionyeshe nyumba hapo ni log off jf, unafikiria hata ukijitoa ufahamu ndio nitashtuka

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
We hko kupayuka kote unafikiria unaweza afford ardhi upper hill
Naona unaumia kuwa na slums [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382]izo apo mbele nimaslum za kulala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382]
Screenshot_20200726-183313.jpg
 
Naona unaumia kuwa na slums [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382]izo apo mbele nimaslum za kulala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382]View attachment 1517743
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Upper hill ndio mlinganishe na vile vijiji vyenu uchwara kwa miundombinu jamani



Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app


Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Lete video buda..mbna unakimbia

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app

Video ipo hapo juu Buda inaonyesha barabara kazaa za karikaoo kuanzia fire mpaka Narung’ombe street. Video nimechukua mwenyewe nikiendesha my Mosquito ( Sym Scooter) .

Yaani kama barabara na landscaping ya eneo lenye majengo ya Maana pale Upper Hill ( KCB Tower, BRITAM tower, UAP) zipo vile basi haina haja ya kuangalia barabara zingine za Upper Hill.
 
Tutawezaje shindanisha na hizo spider webs. Sisi tuna style yetu . Mjini kuna Sidewalks za uhakika , pana kama Lane ya gari . Kuna road marking, na signs Muhimu.

Imagine hii ni Magomeni.


View attachment 1517724
Hatuna haja ya kuwa na pressure na hawa tusha wangalia mpka chumbani ni uchafu mtupu wala hatupati shidaa nao...acha thread iendele tu kama utani [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji16]
 
Back
Top Bottom