Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hizi picha zimepostiwa zaidi ya mara kumi, na ndo mradi mkubwa kenya... ni sawasawa sisi tunapost ya kimara-kibaha ambayo hatuipost sana .. tanzania tunapost miradi mingi ila kenya iko busy na nairobi expressway tu[emoji23]
Pia hapa Nairobi tuna miradi kadhaa na htupost kama:
#Western bypass
#Ngong road expansion
#Rironi- limuru superhighway
#commuter trains
#several overpass and interchanges underway
#Railway city
#BRT
 
Hiyo $92bil uenda ndiyo tupo nayo sasa tatizo mabeberu wanafiki wanapenda kutu underestimate ila huu mwaka wameanza kuumbuka wakaona waipandishe tz kuwa MIC ghafla bini vuu
😂 😂 denial stage hii,mwishowe kujitia kitanzi
 
AAKIA Zanzibar
img_1177-jpeg.324502


img_1176-jpeg.324504


img_1178-jpeg.324500
 
hizi picha zimepostiwa zaidi ya mara kumi, na ndo mradi mkubwa kenya... ni sawasawa sisi tunapost ya kimara-kibaha ambayo hatuipost sana .. tanzania tunapost miradi mingi ila kenya iko busy na nairobi expressway tu[emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] c ndo sehemu ya kujificha hyo mana dozi tunazotoa humu c mchezo.
 
Wakenya kwenye hiyo tweet wanapinga hizo takwimu,

Ndio zile zisizoendana na hali halisi.





Huwa nasema humu facts nyng ni za kutengeneza, ukweli ni kwamba kenya haiwezi zd Tz kwenye sekta ya afya, kitu pekee ambacho kenya imezd Tz ni uwakala tu ambao kwa asilimia kubwa unafanywa na wazungu lkn ukweli upo around the corner na itabainika tu, tupo vzr sn kwenye afya hilo halina ubishi na hata Wakenya wanalijua hilo ni suala la ku update tu data zao na cna shaka na hilo.
 
Wakenya kwenye hiyo tweet wanapinga hizo takwimu,

Ndio zile zisizoendana na hali halisi.






Sisi wakenya twapenda siasa lakini tuko sawa ingawa si ile level inastahiki,still have long way to go so we can't keep quiet
 
Huwa nasema humu facts nyng ni za kutengeneza, ukweli ni kwamba kenya haiwezi zd Tz kwenye sekta ya afya, kitu pekee ambacho kenya imezd Tz ni uwakala tu ambao kwa asilimia kubwa unafanywa na wazungu lkn ukweli upo around the corner na itabainika tu, tupo vzr sn kwenye afya hilo halina ubishi na hata Wakenya wanalijua hilo ni suala la ku update tu data zao na cna shaka na hilo.
😂 😂 sasa hii site ya fact imekuwa ya uongo kwa vile Kenya inaichapa TZ,ingelikuwa mko juu yetu mgesema ni ya ukweli,kwendeni huko,hahaha
 
Huwa nasema humu facts nyng ni za kutengeneza, ukweli ni kwamba kenya haiwezi zd Tz kwenye sekta ya afya, kitu pekee ambacho kenya imezd Tz ni uwakala tu ambao kwa asilimia kubwa unafanywa na wazungu lkn ukweli upo around the corner na itabainika tu, tupo vzr sn kwenye afya hilo halina ubishi na hata Wakenya wanalijua hilo ni suala la ku update tu data zao na cna shaka na hilo.
Hizo ndio zile takwimu zisizo endana na hali halisi yaani mambo kwa ground ni different,

Wanyarwanda kibao hufata matibabu bora Mwanza halafu kwenye hiyo list imewekwa bora kuliko Tz,

Wakenya kibao pia hufata matibabu Tz.
 
Sisi wakenya twapenda siasa lakini tuko sawa ingawa si ile level inastahiki,still have long way to go so we can't keep quiet
Hao wakenya wanaopinga hizo data wameandika ukweli kabisa wala hawajadanganya,

Nafahamu unafahamu kabisa hali ya hospital zenu ila ""unachoma zingine ni za kuanika na kutulia" haiwezi kukuruhusu ukubali humu.
 
Hizo ndio zile takwimu zisizo endana na hali halisi yaani mambo kwa ground ni different,

Wanyarwanda kibao hufata matibabu bora Mwanza halafu kwenye hiyo list imewekwa bora kuliko Tz,

Wakenya kibao pia hufata matibabu Tz.
Ndo mana WaTz hatuna mpango na takwimu zao cc tupo bize na nchi yetu hayo matakwimu yao wabaki nayo wenyewe, tunajenga reli ya umeme wakipenda waandike kenya ndiyo ya kwanza kutumia treni ya umeme, tunajenga hospitals with modern facilities wakipenda waandike Rwanda iko juu ya Tz kwenye sekta ya afya, tunawasha taa vijiji vyote Tz wakipenda waandike Uganda wako vzr kwenye electricity in EA, tunaunganisha mikoa kwa road safi zenye viwango lkn wacha waandike nchi wanazopenda wao ndiyo zenye barabara nzuri but mwisho wa siku aibu itawakumba watakuwa hawana namna [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndo mana WaTz hatuna mpango na takwimu zao cc tupo bize na nchi yetu hayo matakwimu yao wabaki nayo wenyewe, tunajenga reli ya umeme wakipenda waandike kenya ndiyo ya kwanza kutumia treni ya umeme, tunajenga hospitals with modern facilities wakipenda waandike Rwanda iko juu ya Tz kwenye sekta ya afya, tunawasha taa vijiji vyote Tz wakipenda waandike Uganda wako vzr kwenye electricity in EA, tunaunganisha mikoa kwa road safi zenye viwango lkn wacha waandike nchi wanazopenda wao ndiyo zenye barabara nzuri but mwisho wa siku aibu itawakumba watakuwa hawana namna [emoji3][emoji3][emoji3]
Raha ya takwimu iendane na hali halisi,

Sio maneno ya mambo kwa ground ni different [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom