Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Never be deceived. This is the best Dar es Salaam can offer. The rest is just but cosmetic
View attachment 1513746
If its your opinion no body will bother...keep it [emoji16] but this is Dar es salaam
JamiiForums-208703738.jpg
JamiiForums299753569.jpg
2407658_tapatalk_1588389991510.jpg
2397931_Screenshot_20200513-041954_1589333797422.jpg
JamiiForums240411855.jpg
JamiiForums189535674.jpg
20200711_115016.jpg
JamiiForums-1285261050.jpg
JamiiForums1025398880.jpg
JamiiForums1442023461.jpg
JamiiForums1137515387.jpg
JamiiForums-1104028349.jpg
JamiiForums1056340583.jpg
JamiiForums1980694011.jpg
JamiiForums1127010398.jpg
JamiiForums2084979386.jpg
JamiiForums953533928.jpg
JamiiForums-1556857811.jpg
JamiiForums1461863116.jpg
JamiiForums627916420.jpg
 
With time mambo yatakua shega tu.So 2025 maybe tutaanza kuwatafuta Angola maana tushamalizana na Ghana

Kwa trend inavyokwenda nategemea kuona gap kati ya TZ na kenya likipungua kwa kasi sana maana kwa mapinduzi na mageuzi ya kiuchumi yaliyofanyika TZ na uboreshaji wa mazingira wezeshe ya uwekezaji ni kwamba uchumi wetu utapaa sana. Role ya kenya kama middle man itatoka hivyo atapoteza mapato makubwa na investment zitashift from nairobi to TZ.
 
Kwa trend inavyokwenda nategemea kuona gap kati ya TZ na kenya likipungua kwa kasi sana maana kwa mapinduzi na mageuzi ya kiuchumi yaliyofanyika TZ na uboreshaji wa mazingira wezeshe ya uwekezaji ni kwamba uchumi wetu utapaa sana. Role ya kenya kama middle man itatoka hivyo atapoteza mapato makubwa na investment zitashift from nairobi to TZ.
Hiki ndicho nnachokijua mm.
 
I always see Mafia..having a potential of Zanzibar ..just underutilized...so so much potential...it needs a good Regional airport to start with...with ability to handle A220/737s...

Then iwe promoted to investors zijengwe beach za maana..esp local/foreign joint ventures...

Baada ya hapo...niamini mm kile kisiwa pekee kinaweza kuwa kinaleta zaid ya 200k tourist kwa mwaka
 
Kwa trend inavyokwenda nategemea kuona gap kati ya TZ na kenya likipungua kwa kasi sana maana kwa mapinduzi na mageuzi ya kiuchumi yaliyofanyika TZ na uboreshaji wa mazingira wezeshe ya uwekezaji ni kwamba uchumi wetu utapaa sana. Role ya kenya kama middle man itatoka hivyo atapoteza mapato makubwa na investment zitashift from nairobi to TZ.
For sure nakubaliana na analysis yako[emoji1666]
 
Wanaweweseka mnoo [emoji23][emoji23][emoji23]



tatizo hawa jamaa (hasa hasa Kenyatta kiongozi wao) hawataki kwenda kiafrican way,, wanafata wanachofanya wazungu, Tanzania tushukuru Mungu Magu hapendi kufata mambo ya western world, kikwete angekuwa madarakan tungeangamia, mana hana tofauti na kenyatta kufata mambo ya kiwestern
 
Nimekua nikiangalia imf GDP forecast for 2024 mambo yako hivi
1.Nigeria $762B
2.Egypt $453B
3.South Africa $434.4
4.Algeria $178.2B
5.Morocco $161B
6.Kenya $158.8B gdp PPP $281B
7.Ethiopia $146B
8.Angola $109$
9.Tanzania $92.2B gdp PPP $286B
10.Ghana $90.5B

Nachokiona before 2030 kenya inawapiku Morocco na Algeria kama trend itaenda ilivyo...Tanzania itaipiku Angola before 2030,Ethiopia itaipiku Morocco ...Yani kutatokea kubadilishana number sana...

NB;Nigeria is untouchable jaman...The gap is widening before 2030 sio ajabu wakahit 1trillions.
Kenya GDP ni chini ya $76bil don't trust IMF,
Na GDP ya Kenya inakwenda kushuka course of covid
 
Wakuu kwa huu mwendo tunaoenda nao panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu ifikapo 2024 gdp yetu itashangaza watu humu nyie subirini, hyo $92b ni ya kitoto sn, niko optimistic mno kwny hili tusubiri muda utaongea.
Hiyo $92bil uenda ndiyo tupo nayo sasa tatizo mabeberu wanafiki wanapenda kutu underestimate ila huu mwaka wameanza kuumbuka wakaona waipandishe tz kuwa MIC ghafla bini vuu
 
Back
Top Bottom