komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647



Hahaha, hii imemaliza ubishi wote, John Okongo Magufuli... 🙂Wana wasiwasi na Tanzania utadhani wanaoga mlango wazi
The rapid economic growth in Tanzania will see millions uplifted out of poverty, Kenya sisi tulikosea Mungu wapi?
Ooohh my God! Look how fertile the soil is!
Hapa jamaa kawapa za chembe, Wakenya bhn eti Dr. John Okong'o MagufuliWana wasiwasi na Tanzania utadhani wanaoga mlango wazi
The rapid economic growth in Tanzania will see millions uplifted out of poverty, Kenya sisi tulikosea Mungu wapi?


Mapendekezo Mapya ya Mbezi Mwisho Interchange
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/07/2460994_20200720_121305.jpeg
View attachment 1511807
hapo sawaNashukuru kwa taarifa mie tayari kura yangu kwa Taifa langu Fasta
Japo kwenye Shirika la ndege hatumo nimempa Ethiopia bora tuView attachment 1511448
View attachment 1511451
Hii dizain naiona km ina mazingira ya ajali au cjui wenzangu mnaionaje hii, mana nimejaribu kutumia logic naona kama italeta shida flani hv japo iko poa kimuonekano, ila bado najaribu kuiangalia tena na tena.Mapendekezo Mapya ya Mbezi Mwisho Interchange
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/07/2460994_20200720_121305.jpeg
View attachment 1511807
Niliwaambia huu mwaka wakenya na mabeberu lazima watatii wakenya wakawa wananiona mpuuzi MK254 komora096 mwaswastWana wasiwasi na Tanzania utadhani wanaoga mlango wazi
The rapid economic growth in Tanzania will see millions uplifted out of poverty, Kenya sisi tulikosea Mungu wapi?
Kwenye hii article,nimependa huu mstariWana wasiwasi na Tanzania utadhani wanaoga mlango wazi
The rapid economic growth in Tanzania will see millions uplifted out of poverty, Kenya sisi tulikosea Mungu wapi?
Ukweli nikwamba hawa nyang'au maisha kwao hayaendi bila kuongelea Tz....wanatafut tuonekan n kaubay flani....jiuliz3 Tz ilipoingia tu middle income walikaa kimyaa km hawapo Duniani....Hivi TV za Tanzania pia zinafuatilia habari za Kenya kiasi hiki kweli?



pipi hawa.....


Hao wanyama hapo nje wanauzwaa au kuna wahuni wa mjini wamo ndan wanajivinjari, wamepark