Nashukuru kwa taarifa mie tayari kura yangu kwa Taifa langu Fasta
Japo kwenye Shirika la ndege hatumo nimempa Ethiopia bora tuView attachment 1511448
View attachment 1511451
... naona umepiga kura mbili
.. zipo categories nyingine ambazo Tanzania tupoHii ni barua ya msiba,tutegemee upungufu wa $milionare huko Kunyaland empireHizi mambo tumekuwa tukiziongea humu mara kwa mara kwamba kenya hawana ardhi ya kuwafanya waongoze kwa kuuza mazao nje ya nchi, zaidi ni uwakala ndiyo ulikuwa ukiwapa jeuri lkn pia na uongozi wa hovyo tuliokuwa nao huko nyuma, ss watakula jeuri yao maamaeee report kamili subirini 2023 ndo wataelewa mchezo
Sababu ndege za Tanzania kupeleka mazao ya bustani njeView attachment 1510941
Mnaosikia Tourist arrival ni Kidogo Bongo ila Revenue ya kufa mtu.
Maana ya High Quality, High Priced Tourist Products.
View attachment 1511566





mkuu maana halisi ya giant awekening ndio hii sasa,mashambulizi jf,Twitter,insta,youtube,wikipedia mpaka pluto



nimesha'vote mkuu.it is JNIA na si JKNIA! Ple change that before people vote for JKIA!
Hik ni zaidi ya kuamka,,,Tunakimbia!!mkuu maana halisi ya giant awekening ndio hii sasa,mashambulizi jf,Twitter,insta,youtube,wikipedia mpaka pluto
watajua kwamba wingi wa watu una faida gani,mpaka watajua kuwa kweli tumeamka.