Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Not so impressive as you stated, more like Cool_ There's a lot more in Dar than that including nights out on Islands
Tatizo hawa jamaa sijui tusemeje,ile ni kwamba dada zao wengi wameolewa huku sasa na wao wanaona wivu kwa sababu shemeji zao tumewagomea kuja kukaa huku, wabaki tu makwao.

Wanapenda kuijadili sana Tanzania ila wanasahau kuwa Tanzania iliwafanya wao leo wakawa taifa huru la Kiafrika, wamuulize Mzee Jomo atawaambia, wasijisahaulishe.
 
Nimetazama hii video ya Nairobi na ni wazi kuwa Nairobi iko ligi yake. Dar haiwezi shindana na Nairobi kwenye tourist sites, skyscrappers na infrastructure.



WOW! Nairobi is "MASSIVE"!!
That Fire LA•3.4K views•5 hours ago

Wakenya wa siku hizi sijui tatizo liko wapi... ni chang'aa, miraaa au night curfew? Au ni nini zaidi?
unalinganisha dar na nairobi ila hujaweka chochote kuhusu dar.

What a hopeless Kenyatta's grandson.
 
Yani we tony254 Dar inakusumbua sn wkt cc wala hatuwazii Nairobi, tunachowaza ni Dar yetu kuifanya iwe europe ya EA
Dar will never be a first world city, never! Maybe in 150 years, all factors remaining constant, hilo ni ndoto😂😂😂, just display aerial view ya the whole city ya Dar, around 10-15% is somehow modern, the rest 90-85% ni balaa from an earial view. Residential uchwara., afadhali Nairobi has slums in selected areas which can be annihilated easily., pengine ungesema Dodoma ambayo inaanza, it can pull a first world standards, lakini masikini wengi mtatiririka kule kwa wingi na kuifanya iwe bovu kama Dar😂😂
 
Dodoma is sure as hell going to be on🔥 Apparently serikali baada ya kuona Kuwa imetumia BRT Dar, Dodoma wameplan kutengeneza tram system. Pia Dodoma kutakuwa na light rail kama iliyoko proposed Dar Es salaam. Mwenye link ya Full report ya JICA atuletee basi Maana mimi nimepata hii picha na quality yake sio nzuri. Nimejaribu kutumia magnifying glass ya simu nimeona kuwa the yellow lines Ndio tram ways na the blue line in the north is the light rail, the other blue line in the center is the SGR, and the pink part is where the Dodoma sgr station will be located. View attachment 1511858View attachment 1511859
Awesome!
 
Nop hakuna mji E.Africa & C.Africa unaishinda Dar kwa Skyline; Haupo!
Labda kama unaongelea upande wa services. Hapo tutaconsider Nairobi.
Unaota wewe. Skyline ya Nairobi imeishinda Dar na wala hakuna ubishi hapo. The 3rd tallest and the 5th tallest buildings are in Nairobi. Soon another one called GTC will be commisioned. Yaani kati ya majengo nane ndefu Africa Kenya itakuwa na tatu mwishoni mwa mwaka huu. 1. Britam towers (200 metres). 2. Global Trade Centre (184 metres). 3. UAP building (163 metres).

Tanzania ina mbilikimo kadhaa. Tanzania ports Authority HQ (157 metres). PSF commercial towers A and B (152.7 metres)

Leta ligi kwenye maeneo mengine lakini sio kwenye skyscrappers. South Africa tu ndio imeishinda Kenya kwenye majengo marefu. Ingawa kuna jengo moja matata huko Ethiopia ya 198 metres ambayo itakamilika mwishoni mwa mwaka huu. Ethiopia inaweza kutupea ushindani kidogo lakini sio nyinyi na majengo yenu mbilikimo.
 
ukiachana na mapungufu yake mengi, jamaa ni mzur kufatilia miradi ya serikali, i hope kweny zile nafas kumi atateuliwa kuwa naibu kumsaidia jafo TAMISEMI
aawapi! Mradi wa Mbezi Luis bus stand na Machinjio ya kisasa vingunguti ni mpaka JPM alipomkurupusha! Sema ni mzee wa kucheza na media! Na kujipambanua na miradi ya Kitaifa alikuwa anani-bore kila JPM alipofanya ziara ya kukagua miradi naye huyo kimbelembele kuanzisha safari kama kujaribu kujipambanua na Mkuu wa Mkuu wa nchi!
 
aawapi! Mradi wa Mbezi Luis bus stand na Machinjio ya kisasa vingunguti ni mpaka JPM alipomkurupusha! Sema ni mzee wa kucheza na media! Na kujipambanua na miradi ya Kitaifa alikuwa anani-bore kila JPM alipofanya ziara ya kukagua miradi naye huyo kimbelembele kuanzisha safari kama kujaribu kujipambanua na Mkuu wa Mkuu wa nchi!
Hadi takataka dar sikuizi zimerudi makonda ni mbumbumbu mzembe mji umeanza kuwa mchafu tena
 
IMG_4712.jpg
 
ukiachana na mapungufu yake mengi, jamaa ni mzur kufatilia miradi ya serikali, i hope kweny zile nafas kumi atateuliwa kuwa naibu kumsaidia jafo TAMISEMI
Kusema kweli Makonda yuko vizuri huu ndio ukweli, Dar es salaam haijawahi kuwa known na safi kama kipindi cha huyu jamaa, mkuu wa mkoa wa sasa hata Jina simjui, hata sura tu, tuwe wakweli tuache unafiki Makonda ni mtu mbunifu sana sana na anafaa sana. He is known, mkoa kama Dar unatakiwa hivo, mtaniambia mkuu wa mkoa huyu.
 
Back
Top Bottom