game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,336
Tazama hiki, Hata miti ni mirefu kuliko,nyie ni wajinga, kwa karne hii badala mjenge international-standards stadiums, mnajenga viwanja ambavyo CCM wanamiliki Tanzania, hizo hazina tofauti na viwanja vya CCM, hizo renders zisiwachanganye, subir zikamilike ndo mtanielewa







Angalia hiki cha chini sijui hata wanajenga nini
Sent using Jamii Forums mobile app

