Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nyie ni wajinga, kwa karne hii badala mjenge international-standards stadiums, mnajenga viwanja ambavyo CCM wanamiliki Tanzania, hizo hazina tofauti na viwanja vya CCM, hizo renders zisiwachanganye, subir zikamilike ndo mtanielewa
Tazama hiki, Hata miti ni mirefu kuliko,

Angalia hiki cha chini sijui hata wanajenga nini
JamiiForums-2018748811.jpg
JamiiForums872011315.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha ajabu ngoja akuletee picha ya hzo u/c km hujazimia, utaambiwa kiwanja hk kimegharimu kshs 500mil zen angalia icho kiwanja wallahi na ukumbuke kwamba huo co ujenzi wa viwanja vipya bali ni ukarabati tu
County governments projects..
Kwhyo hata usishtuke sana
 
Pesa wanatoa wapi, af hv we komora huwa unafikiria kweli ww?
Kwn counties hazina vyake vya ushuru, we ndio hutumii akili..alafu hyo hela kila governor anatumia atakavyo kulingana na manifesto yake..
So hapo hakuna mtu wa kumpangia
 
IMG_20200716_084347.jpg


IMG_20200716_084337.jpg

In Ngara Nairobi, the beasts are raising. Now to 8, 20 floor towers. As the 10, 13, 15 floor towers are now at final stages.
 
Back
Top Bottom