ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
forbes hawatambui ryt 😂😂😂😂I know hawataamini hapa but that the way it should be
East Africa's Richest People 2020.Moi's Family Tops The List.
forbes hawatambui ryt 😂😂😂😂I know hawataamini hapa but that the way it should be
East Africa's Richest People 2020.Moi's Family Tops The List.
Huu ni ujinga na uongo kwasababu hakuna "source" yoyote yenye kuaminika, PILI wanasema Moi family is the richest lakini hawasemi utajiri wao ni kiasi gani.I know hawataamini hapa but that the way it should be
East Africa's Richest People 2020.Moi's Family Tops The List.
I know hawataamini hapa but that the way it should be
East Africa's Richest People 2020.Moi's Family Tops The List.

Aisee Tz ina miradi mingi sn kwakweli but mwisho wa siku tutaona miradi mnayofanya na yetu ni ipi italipa mapemaNimekuambia mara ngapi kuwa hii project haina construction board? Ama kuna ingine unataka kutuekea?



kwao ni jambo la kawaida mbona 😂😂👇ni ujinga kufurahia kumuona mwanasiasa hasa kiongozi anaiba mali za umma na kuwa na mali nying .. wew ulitakiwa kuikemea lkn unakenua meno nje kufurahia ufisadi wa viongozi wenu,!
na ukiona mwanasiasa anaiba mali za umma, ujue kuna mamia wako nyuma yake nao wamefaidia, lkn wew maskin hujapata hata ngap wowote![]()
wanamuiga mzungu wakat ana budget ya akiba kulisha nchi zao kwa miaka 5 😂😂👇Wanasema njaa itadouble kenya mwaka huu . Tatizo kumuiga mzungu kila jambo . Bahati mbaya wanaopata madhara ni wale wa kipato cha chini sio decision makers. Hadi inatia huruma
habari unayo lakini 👇👇👇I know hawataamini hapa but that the way it should be
East Africa's Richest People 2020.Moi's Family Tops The List.
At least wewe umekiri inajengwa. Mpashe Ichoboy basi aache ubishi za kishenzi
According to kenyan mediaI know hawataamini hapa but that the way it should be
East Africa's Richest People 2020.Moi's Family Tops The List.
habari unayo lakini 👇👇👇
blaza,hawa jamaa ukifikiri uwezo wao wa kufikiri ni sawa na simu ya android ya ram mb 15 mwaka huu.ni ujinga kufurahia kumuona mwanasiasa hasa kiongozi anaiba mali za umma na kuwa na mali nying .. wew ulitakiwa kuikemea lkn unakenua meno nje kufurahia ufisadi wa viongozi wenu,!
na ukiona mwanasiasa anaiba mali za umma, ujue kuna mamia wako nyuma yake nao wamefaidia, lkn wew maskin hujapata hata ngap wowote![]()
Jkia-James Gichuru Expressway ni mradi tofauti na Nairobi - Mombasa Expressway.
Jkia to James Gichuru inajengwa na China CRBC na hii ya kwenda Mombasa ni USA (betchel)