Hehehehehe watu walidhani hilo daraja pembeni ndilo lenyewe kumbe hyo ni km kisaidizi kwa engineers kufanya yao


wenzetu bado wanahangaika kutafuta construction board 😂😂😂😂Hehehehehe watu walidhani hilo daraja pembeni ndilo lenyewe kumbe hyo ni km kisaidizi kwa engineers kufanya yao![]()
Alitufukuza south africa kwani yeye ni msouth africa?Mkulima aliwafukuza South Africa![]()
Kibera sio kunyaland kwani,haya furahi basi nairobi hiyo hapoYou are showing me Kibera slum, while am showing you the general outlook of Dar. See the difference
Yes, at least wameanza na upande huu sio mbaya maana kwa kweli fukwe hizi zina muonekano ambao sio mzuri hasa ukizingatia zipo jijini dar. Nilikuwa nazungumzia ile ya upande wa ferry kuja mpaka mitaa ya posta ya zamani na yenyewe kama wakiiboresha jiji litapendeza zaidi kwa maeneo hayo.
Mkeka mkali sana
Kenya is broke and yet nyinyi mnashindwa kulipa just $8m annual contribution kwa eac huko upande mwingine mkulima anawahangaisha na ndege zenu kuzuiwa nchi za ng'ambo kwa madeni, give us a break.......Tanzania ni nchi maskini kutupwaInasemekana serikali ya Kenya ipo broke na kuepuka aibu ya kushindwa ku-finance budget stay at home ndo solution muhafaka! Kumbuka mishahara ni nusu!
is that construction board of express way ??? vp kama ni pedestrian bridge ??😂😂😂
Improvement of Commuter rail and not Construction of new commuter rail!nangojea ufunge utokee kazi ilishaanza...am looking foward kuenda site kuletea picturesView attachment 1499424
Almost 20 years ago! 😂Kibera sio kunyaland kwani,haya furahi basi nairobi hiyo hapoView attachment 1500275
Project ya Private Investors?remember this project ni ya private investor...as you understand private investor means business like the expressway being build by private investor ungejua venye hilo expresway anaijenga kwa kazi am sure itamalizwa kama bado electric train yenu bado inajengwa...tayari zishaanza kununuliwa reli..nangoje ile siku itamalizwa nikwambie utoke jamii forum..https://www.railjournal.com/africa/kenya-acquires-dmus-mallorca/..by 2021 it will be a done deal
Pedestrian bridge 😂 😂 😂is that construction board of express way ??? vp kama ni pedestrian bridge ??😂😂😂