Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kenya tuko na uwezo wa kujenga meli....watu wa tanzania yafaa mshukuru wa kenya tumewajengea meli kadha na tag boats za bandari lenu la port.mabasi ya brt pia muliagiza uku kenya..kubalini kenya is more advanced..https://www.secoafrica.com/hapa-kazi-tu-01/.....angalieni hio video hope meli yenu mulishaipokea.. kutoka mombasa


acha ushamba... hio sio meli. (ina jina lake ila sio meli)..kazi yake ni kubeba mizigo na kuvutwa na boti kwa mbele.. na hakuna bus wala baiskel zinatoka kwenu
 
kenya tuko na uwezo wa kujenga meli....watu wa tanzania yafaa mshukuru wa kenya tumewajengea meli kadha na tag boats za bandari lenu la port.mabasi ya brt pia muliagiza uku kenya..kubalini kenya is more advanced..https://www.secoafrica.com/hapa-kazi-tu-01/.....angalieni hio video hope meli yenu mulishaipokea.. kutoka mombasa

Onyesha kwa evidence kiwanda gani Kunyaland kina-assemble model ya mabasi yanayotumika BRT Tanzania!
 
kenya tuko na uwezo wa kujenga meli....watu wa tanzania yafaa mshukuru wa kenya tumewajengea meli kadha na tag boats za bandari lenu la port.mabasi ya brt pia muliagiza uku kenya..kubalini kenya is more advanced..https://www.secoafrica.com/hapa-kazi-tu-01/.....angalieni hio video hope meli yenu mulishaipokea.. kutoka mombasa
hivyo ndivyo mnavyodanganyana........

atii mabus ya brt
 

Toka Lini Xiamen Golden Dragon ni Kampuni Ya Kenya.

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg
 
Mkuu KLM imeacha lini kuja Tz direct? Last time nakumbuka route yake ni Amsterdam-Kilimanjaro-Dar-Amsterdam.
Klm inayokujaga TZ ni moja tuu wakati wote,lkn kule kwa wa kunya kutokana na kuwa na hisa ndani ya KQ wanatua ndege tatu....hapa nazungumzia pick season between July and February.yuko sahihi mkuu.
 
Wacha upumbavu wewe KLM haipitii Kunyaland kuja Dar! Inapitia KIA au inakuja direct to JNIA! KQ walijaribu sana kuilazimisha KLM kuiachia route za EA, KLM ikakataa kutokana na vested interest to Tanzanian market.
Mkuu Geza wakati wa pick season ya utalii...kuna KLM mbili zinazotuaga Kunyaland Asubuhi na KQ na PW ndio wanafanyaga hizo kazi zao kuja hapa kwetu..yuko sawa huyu mjamaa..na yote hii ni ubiya wao na KQ.
 
Its simple your poor enough to fail to secure a peace of land in nirobarry....because its alread taken....so dont show us your tear here....blame your gvt...
Why are you using mucus to think? You think land in New York, Johannesburg, Cairo, Beijing.. etc is easy to get??
Only in a fishing village can you find cheap land in the cbd
 
Back
Top Bottom