Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 2,218
- 4,043
Kiambuu mafia walianza kumgeuka mkikuyu mwenzao...shiit Kunyaland!
Kiambuu mafia walianza kumgeuka mkikuyu mwenzao...shiit Kunyaland!
na jua ni budge ..but bado tuna jenga angalia hio mojawapo ....nyingine ni hio ... ..mabasi zenu mlifanya order zinatengenezwa https://allafrica.com/stories/201805290445.html View attachment 1498628
Isuzu angalia body ilivyo ya kishamba!
Daah,mimi nawaambiaga watu hawa sio wanadamu wa kawaida,ni miwatu iliyotawalia na ubinafsi,chuki na husda...sii tuu kwa majirani lkn hata baina yao.tumewajua vyema hakuna kuwapa pumzi..ni kulala nao sita kwa sita mpaka wanyee nep.Mi naogopa sana..kwa wakenya walivyo na roho mbayaaa..watalisabotage shirika letu la ATCL si ajabu wakalegeza hata bolts za tairi la ndege ili ipate ajali na kuharibu reputation yake..Wakenya wana roho mbaya mnooo...kama walikuwa tayari kusaliti EAC kwenye EPA kwaajili ya Maua watashindwa hili kweli?
Nikwel kuna haja ya kupig kura....ni vitu vya muhim itasaidia kutambulik kwa Nchi yetu..zaidi dunianimsisahau kuvote humu aise! ni muhimu.. kushinda category yoyote ambayo Tanzania au Zanzibar ipo ni njia mojawapo za kutangaza utalii wetu. Watu wa mataifa mbalimbali wanaweza kuangalia sehem za kwenda kutalii/kupumzika kwa kuangalia washindi wa hizi tuzo
Izo blablabla zenu uko kunya usilete uku....hatuwez tumia maisuzu wew...yanawafa mnao tumia maroli kubebea abiriaubishano ya nini kakangu..soma hapo Why Tanzania has ordered Kenyan firm to build BRT buses


With you is always blablabla...so are you compare that town with cairo,New york, Johannesburg even Beijing....Why are you using mucus to think? You think land in New York, Johannesburg, Cairo, Beijing.. etc is easy to get??
Only in a fishing village can you find cheap land in the cbd







Hakuna kitu kama hicho! Route za KLM kwenda KIA huongezeka pia high season!Mkuu Geza wakati wa pick season ya utalii...kuna KLM mbili zinazotuaga Kunyaland Asubuhi na KQ na PW ndio wanafanyaga hizo kazi zao kuja hapa kwetu..yuko sawa huyu mjamaa..na yote hii ni ubiya wao na KQ.
ubishano ya nini kakangu..soma hapo Why Tanzania has ordered Kenyan firm to build BRT buses


Ukidandia convo za watu uwe makini. Sijakataa klm kutua Kenya hata mara kumi. Huyu mwenzio alisema haziji Tz direct zinashushia Nairobi then PW inaleta abiria Tz. Baada ya kumbana akabadili magoli kuwa zipo flight mbili moja ya Tz direct ingine ya Nairobi. Mambo ya pick season sijui Nairobi inatua mara tatu siyajui wala hayana umuhimu. Nimetumia sana KLM hamna hata mara moja nilipewa option ya kupitia Nairobi.Klm inayokujaga TZ ni moja tuu wakati wote,lkn kule kwa wa kunya kutokana na kuwa na hisa ndani ya KQ wanatua ndege tatu....hapa nazungumzia pick season between July and February.yuko sahihi mkuu.
Unajitahidi sana ku-change picha lakini bado tu coastal cities huwa na view kali sanaGithurai like fishing villageView attachment 1498605
Yes, they are all the dominant cities in their regions respective regions.With you is always blablabla...so are you compare thay town with cairo,New york, Johannesburg even Beijing....![]()
Wakenya hapa ni uswahilini, kunaitwa Magomeni mapipa.
Nashanagaa aliponaponaje huyu kwa mzee wa Tembo.