Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hata mm naona mlianza kutumia toka 2005πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

View attachment 1493499

Hio ni new deal. Pilot ilianza kitambo. 2011 wakaifanya official.
Cha muhimu, LDC Tanzania nyuma ya Kenya kila wakati.

Sasa hivi tunaelekea kuweka power lines zingine underground. Konza city hio ishafanyika.
Hio mtaanza 2050.
 
NAIROBI KENYA LIFE STYLE

halafu wakenya hii tabia ya kujipotosha kwa kuja hapa na kuanza kusema sijui nyoko nyoko kujiita middle income country sijui ooh mnajenga ushago, ushago mmejenga nini cha maana..?..wakati maisha yenu hata mavi ni mazuri

hii nini, sasa haya ndiyo maisha yenu halisi
View attachment 1493420View attachment 1493421View attachment 1493422View attachment 1493423View attachment 1493424View attachment 1493425View attachment 1493426View attachment 1493427View attachment 1493428View attachment 1493429View attachment 1493430
Hii ni Nairobi CBD
Sio kijijini
 
NAIROBI KENYA LIFE STYLE

halafu wakenya hii tabia ya kujipotosha kwa kuja hapa na kuanza kusema sijui nyoko nyoko kujiita middle income country sijui ooh mnajenga ushago, ushago mmejenga nini cha maana..?..wakati maisha yenu hata mavi ni mazuri

hii nini, sasa haya ndiyo maisha yenu halisi
View attachment 1493420View attachment 1493421View attachment 1493422View attachment 1493423View attachment 1493424View attachment 1493425View attachment 1493426View attachment 1493427View attachment 1493428View attachment 1493429View attachment 1493430
Umenipa picha mpya za kucharaza hawa wahuni
 
NAIROBI KENYA LIFE STYLE

halafu wakenya hii tabia ya kujipotosha kwa kuja hapa na kuanza kusema sijui nyoko nyoko kujiita middle income country sijui ooh mnajenga ushago, ushago mmejenga nini cha maana..?..wakati maisha yenu hata mavi ni mazuri

hii nini, sasa haya ndiyo maisha yenu halisi
View attachment 1493420View attachment 1493421View attachment 1493422View attachment 1493423View attachment 1493424View attachment 1493425View attachment 1493426View attachment 1493427View attachment 1493428View attachment 1493429View attachment 1493430
Ss huwa najiuliza hii middle Income ya wapi? Yn WB walitumia vigezo gn kuipa hadhi ya middle Income? Ndiyo maana huwa ckubaliani na vigezo eti per capita income ndo kigezo cha status ya nchi ckubaliani kabisa, wangekuwa wanaangalia maisha ya mtu mmoja mmoja kuanzia housing, social amenities, country's infrastructure systems and political issues like Govt administration n.k
 
ni haibu hawa jamaa ni wakuwadharau kabisa.......
huko mbeleni inabidi tuwateme kabisa hawana hadhi ya ku argue na Sisi....
Huu uzi umewazndua hata baadhi ya WaTz waliokuwa wanapenda kutumia kenya km reference yao, walikuwa wakiwasikia Wakenya wakijisifu kwamba wako vzr lkn social platforms zmewaumbua Wakenya, now huwez mckia mTz atumie kenya km reference labda awe mamluki
 
Hio ni new deal. Pilot ilianza kitambo. 2011 wakaifanya official.
Cha muhimu, LDC Tanzania nyuma ya Kenya kila wakati.

Sasa hivi tunaelekea kuweka power lines zingine underground. Konza city hio ishafanyika.
Hio mtaanza 2050.
ahahhahaha mulianza na maneno maana muna ndoto za mchana nyinyi πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Katika miaka kumi na Tano toka mmeanza , Hebu tuonyeshe eneo ambalo mradi ulianza tuone kidogo

Hakuna eneo moja tu.
Hii ni jambo la nchi nzima. Concrete sasa hivi idadi either ni kubwa ama inaelekea kupita miti.
Kenya ata hio si habari.

concrete.JPG
concrete1.JPG
 
Back
Top Bottom