El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Some apartments in Donholm area....eastlands
Sawa zenu ma mortuary na mna gutsYaani hawa jamaa wanaboa sana utasikia the Mega, supper, mather of all. Hala kitu kinachopigiwa chapuo utakuta ni kituko!! ila sio taabu watakuwa wameathirika sana na maisha ya bweni tena uzeeni. Domitory zinadumaza sana na haya ndio matokeo hasi ya kujenga mabweni na kubatiza estate!! Yaan .... punda ni punda hata kama umpake rangi afananie na pundamilia ila ukweli ndio huo. a Domitory is a domitory be it in the name of estate or local name you wish to brand it!! hii ngume kumeza itabidi wapanue midomo iingie vizurii!!! Ova
Hamna kitu apo try other cityMombasa Kenya >dar![]()
![]()
![]()
Difference yake na dar ni tower mbili tuHamna kitu apo try other city
Nairobi zipo tower mbili mathalani sasa mombasa haipo ata kwenye orodha ya majiji ukanda huuDifference yake na dar ni tower mbili tu
Dar ndio tower mbili za serikali...Nairobi iko ligi ya Johannesburg na Lagos....nyinyi mko ligi ya Mombasa,Maputo,lusaka, etcNairobi zipo tower mbili mathalani sasa mombasa haipo ata kwenye orodha ya majiji ukanda huu
Wala usijichoshe maana katika miji mikubwa ya south Hamna ata mmoja mnausogeleaDar ndio tower mbili za serikali...Nairobi iko ligi ya Johannesburg na Lagos....nyinyi mko ligi ya Mombasa,Maputo,lusaka, etc
Iyo nairobi ya kibera na mathare korogocho ndio unaona ni mjn?broo try other city maana Dar is even far away better in overallDar ndio tower mbili za serikali...Nairobi iko ligi ya Johannesburg na Lagos....nyinyi mko ligi ya Mombasa,Maputo,lusaka, etc
Ata city za south A zina slums msee...ni Johannesburg pekee inatishia Nai uko...Iyo nairobi ya kibera na mathare korogocho ndio unaona ni mjn?broo try other city maana Dar is even far away better in overall
Sawa maana uhuru wa kuongea unautumia. Kuongea unaweza sema hata Lamu inazidi Moscco si unapayuka tu hakuna atakae jali. Yaani ushindanishe ww peke na matokeo unajipa mwenyew.......Dar ndio tower mbili za serikali...Nairobi iko ligi ya Johannesburg na Lagos....nyinyi mko ligi ya Mombasa,Maputo,lusaka, etc
Jozi,cape town ,Durban Ziko very advanced, Pretoria hakika hamuwazidi Hawa jamaa kwa lolote try other city man south Ile sio level yetu kabisaAta city za south A zina slums msee...ni Johannesburg pekee inatishia Nai uko...
Fact ni fact mmeshinda Mombasa but si sana mko ligi moja...Nairobi nayo bado ata nusuSawa maana uhuru wa kuongea unautumia. Kuongea unaweza sema hata Lamu inazidi Moscco si unapayuka tu hakuna atakae jali. Yaani ushindanishe ww peke na matokeo unajipa mwenyew.......
Johannesburg na Capetown pekee ndio unaeza ongelea hizo zingine haziezi kua mbele ya Nai...ata kama niza wazunguJozi,cape town ,Durban Ziko very advanced, Pretoria hakika hamuwazidi Hawa jamaa kwa lolote try other city man south Ile sio level yetu kabisa
Durban na Pretoria zinabatte na city za Europe sio huo utoto unauwaza weweJohannesburg na Capetown pekee ndio unaeza ongelea hizo zingine haziezi kua mbele ya Nai...ata kama niza wazungu