El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Mogadishu pia haina slums hata Kinshasa lakini zunguka mji unashindwa hata uanze vipi....
so Dar falls there. .
mmechanganya wadadisi kwelikweli
Soma hapa kwanza 😀😀😀😀😀Mogadishu pia haina slums hata Kinshasa lakini zunguka mji unashindwa hata uanze vipi....
so Dar falls there. .
mmechanganya wadadisi kwelikweli
Povuuuu.....kisu cha ngariba kimeingia mahala pake.Nairobi hosts you
Gives you a job
Feeds you
Gives you a shelter
Clothes you.
.
Once you leave you only know kibera and mathare. Kweli a human being is a strange being. .....mbwa ukimpa chakula once hawezi kukosa shukran.

Hehe in Tz rangi is th new trend. Inanikumbusha zile enzi ushago nyumba zinapakwa rangi time ya sherehe na Christmas. They have that mentalityView attachment 523459
Hii IPO Nairobi ,panaitwa Wilson airport kwa ndege ndogo ndogo
Kila kona Nairobi inakula viboko vya kutosha kutoka dsm ,ako ka Wilson airport chao majengo machafu wameshindwa ata rangi abiria apo kwa Wilson airport watakuwa wana ondoka na kunguni
Kila siku nawashauri usitume picha majengo machafu wameshindwa afford kupaka rangi
Link?Report ya BBC inasema majengo 3 kati ya 5 Nairobi hayafai kwa makazi ya binadamu
Ndio maana tunaona mnatuma majengo uku ya ovyo sana kama ilo linye nusu ya jengo ni antenna muwe makini linaweza poromoka mna wowote
😀😀😀😀😀😀kibera ilitoka from 2.5 million ikaenda hadi 1 million then 200000.....
last census ilikuwa na 170,000
Hehehe. ...ok.We are trying to fix our slums. .
.it's a big task I must admit

Najua gharama kumalizia nyumba ni kubwa sana kwa kenya maana unatakiwa upige plasta ya cement upige white cement na uweke whether guard sasa izo gharama watawezea wapi lazima waache kama ivyo matofali yapo kavu kavu , ata hiyo nyumba iliyo dondoka Leo uko Nairobi ipo ivyo kama hiyo airport ya wilsonHehe in Tz rangi is th new trend. Inanikumbusha zile enzi ushago nyumba zinapakwa rangi time ya sherehe na Christmas. They have that mentality
Najua gharama kumalizia nyumba ni kubwa sana kwa kenya maana unatakiwa upige plasta ya cement upige white cement na uweke whether guard sasa izo gharama watawezea wapi lazima waache kama ivyo matofali yapo kavu kavu , ata hiyo nyumba iliyo dondoka Leo uko Nairobi ipo ivyo kama hiyo airport ya wilson
Iyo ndio JNIA aibu kubwa....unailinganisha na Wilsonterminal 1 mainly for light aircraft and private jets
View attachment 523420 View attachment 523423 View attachment 523424 View attachment 523425 View attachment 523426 View attachment 523427![]()
We hujui any ata manyumba za London hazipakwi rangi kwa maweNajua gharama kumalizia nyumba ni kubwa sana kwa kenya maana unatakiwa upige plasta ya cement upige white cement na uweke whether guard sasa izo gharama watawezea wapi lazima waache kama ivyo matofali yapo kavu kavu , ata hiyo nyumba iliyo dondoka Leo uko Nairobi ipo ivyo kama hiyo airport ya wilson
We hujui any ata manyumba za London hazipakwi rangi kwa mawe
Haha ebu fungua trend ya dar vs Lagos nairaland hawasee wajue hawana any.utapata tu huyo ni graduate wa university of daresalaam with that bare minimum logic....hehehe
Iyo ndio JNIA aibu kubwa....unailinganisha na Wilson