PNU
JF-Expert Member
- Jun 19, 2020
- 377
- 2,809
Kazi nzuri..hii ina ka speed..i think(imo) 2021 december it will be done
Mi nilishangaa kumsikia waziri wa ujenzi anasema mkataba wa hyo phase 2 inabidi kukamilika February 2021 ndipo nikaelewa kwanini wana speed kubwa kwenye hiyo phase inaonekana waliwabana kwenye mkataba.
