Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Hampendi ukweli, hii ni kawaida ya wengi wenyu, nimewaelewa, kweli nadhani niliota ndoto[emoji23][emoji23], good morning!unapenda kujidanganya kwa kujifurahisha........
eti TPDF imeshindwa,imeshindwa nini,wapi ,lini na saa ngapi....?••• au uliota ndoto ya kivita ukiwa front captain na ukala kichapo ukahisi hiyo ndoto ni TPDF[emoji3][emoji3][emoji4][emoji4]
endelea kujidanganya na hizo taarifa zako za kichwani
Tz Army huwa hatuna historia ya kuloose mission......... iko wazi
TPDF an army good at fighting rebels (mostly child soldiers with pangas) in Congo forest. Keep up[emoji23][emoji23]