carter
JF-Expert Member
- Jan 23, 2009
- 3,664
- 4,272
Kwa sababu wana wa amber ruty ndio unawaona wakali?
Yes, Uganda is ahead of you by far. That one nobody can`t dispute.
Yes, Uganda is ahead of you by far. That one nobody can`t dispute.
Tayari wafanyibiashara wenu wanalia ya kwamba hawaruhusiwi kuuza vitu kenyahawa wapuuzi tuwafungie mipaka.. walielie njaa kwa kwanza kama wiki tatu hiv ndo tuwafungulie.. yan washike adabu kwanza
Wacha kujipendekeza wewe
Mtapimwa tuYani hawa jamaa wana mbinu za kitoto sn, hata watoto wa primary washajua kwamba target yao ni utalii, wameumia sn kuona watalii wakimiminika nchini wkt wao wamejifungia, wanatamani watangazie dunia kwamba Tz ndio inaongoza kwa covid-19 duniani, wanatamani mpaka ufungwe kabisa tatizo njaa ndiyo inayowaharibiaView attachment 1468800
Not interestedBibie kuwa na roho ya kiungwana,august nitakua pande za packers hapo likoni

Budget kubwa ya nn kwa nchi tulivu km hii, hatuna vita vya wenyewe kwa wenyewe, tunapendana, tunaamini cc ni wamoja, zen mpuuzi atoke anapotoka aje kutushauri eti tuwekeze pesa nyingi kwenye jeshi ili tugundue nn kwa mfano, au tuwekeze pesa nyng ili tuje kusaidia wenzetu wanaouana kila siku ili iweje, mijitu ynyw haina shukran unaisaidia na bado haitaki kuku respect, yn hamjatushawishi bado na mctegemee kuikuta Tz kwny list km hyo, pesa inaingia kwenye miradi ya msingi kuhusu jeshi we chokoza uoneI have been saying here that Tanzanian army is nothing



Bila kusahau usafirishaji wa samaki, mazao na matunda mbalimbali kwenda ulaya kupitia airport zetu.Aha!niliwaambia nugu humu, come 2025,itabidi tukae Kuandika mikataba ya biashara upya nao kwa sababu viwanda vinavyojengwa,vitapunguza pakubwa imports ya bidhaa almost 90%kutoka kwao.
Tuwatwange in JPM voicehawa wapuuzi tuwafungie mipaka.. walielie njaa kwa kwanza kama wiki tatu hiv ndo tuwafungulie.. yan washike adabu kwanza

Kinachowasumbua hawa jamaa ni wivu wa kijinga yn hawaamini kama Tz has now taken its position in this region, but it will take time b4 coming to agree with this bitter truth.Bila kusahau usafirishaji wa samaki, mazao na matunda mbalimbali kwenda ulaya kupitia airport zetu.
Wengine hawa wanapeana vitasa wenyewe kwa wenyewe.Kinachowasumbua hawa jamaa ni wivu wa kijinga yn hawaamini kama Tz has now taken its position in this region, but it will take time b4 coming to agree with this bitter truth.
Watapeana vitasa sana kipindi hiki.Wengine hawa wanapeana vitasa wenyewe kwa wenyewe.
majamaa wana budget kubwa hiv afu mambo yao ya ajabu ajabu
Uyu mwamba kawagonga kwa reasons za adabu wakawa hawana la maana la kujibuWengine hawa wanapeana vitasa wenyewe kwa wenyewe.


Mpokee commercial plane ya watalii tena msimu huu wa corona halafu wale wazee wa ndio mjengoni wasiliongelee na kunengua viunoWengine hawa wanapeana vitasa wenyewe kwa wenyewe.



Mmeshapata mgao wenu wa bajeti kutoka kwa mabeberuBudget ya kwenye makaratasi hiyo mzee imagine huwa wana budget kubwa kuliko Nigeria ila ikiwa na deficit ya double digits sometimes up to 15% !
Uyu mwamba kawagonga kwa reasons za adabu wakawa hawana la maana la kujibu![]()
Stop quoting quotes zangu sitaki shobo za wenye akili fupi.Mpokee commercial plane ya watalii tena msimu huu wa corona halafu wale wazee wa ndio mjengoni wasiliongelee na kunengua viuno
Never
Watapeana vitasa sana kipindi hiki.