Tz ina potential kubwa sana bro yes hizo projects ni muhimu na maana but i l give my additional ones
4..Completion of Cargo terminal at Songwe airport and Expansion of Cargo terminal in KIA ..hii itaboost exports Za Holticulture zaidi..tumeona Cargo terminal ilivyosaidia Mwanza airpot so that means more Forex ..Holti ina potential hata ya $5bn usd to Tanzania of exports tuko around 780mil USD
5.Completion of Gold refinery and smelter plants in Mwanza and Dodoma increase in export revenue and Tax(kazi imeanza)
6.Builiding of fertlizer plant (1bnusd) at Lindi..hii itashusha gharama za kuingiza mbolea Tz..plus over 3000jobs
7.Completion of currently 3 pharmaceutical industires in Kibaha jobs+ reduce in forex to buy meds (% ndogo imebaki ziishe) were using $ 300-400mil ku import dawa kama sikosei
8.Strating Iron mining in Liganga and developing of iron smelters tuanze ku export chuma
9.Completion of big industries which currently u/c...ie..Karanga Leather and Shoe factory, Bakhersa sugar plant.,Nssf Sugar plant, Tan choice meat proceesing ( i think its already opened) , Ipp automobile assembly( ilikuwa on cards sema sijui kama wataendelea nayo baada ya Mengi kufariki)
10..Improvements of rural roads connecting to farms and markets
11. Project ya kujenga viwanda vya mafuta ya kula vingi kutosheleza needs ( we imporr about $200-250 mil ya mafuta ya kula..
The way to get more forex is to depend less on it(imports) while earning more from exports+ increasing jobs for Tz