komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Surplus ya 9% kw maize ndio unakuja kupiga kelele nayo hapa..cha ajabu wanategemea chakula kutoka kwetu
Remember 91% inatoka kwetu
Surplus ya 9% kw maize ndio unakuja kupiga kelele nayo hapa..cha ajabu wanategemea chakula kutoka kwetu
Hilo neno ni muhimukuna neno hapo limewachoma sn, hawajui kwamba hilo ndio jina la ss la Dar es salaam.

Kile kiwanda cha Africab kinachotengeneza vifaa vya umeme ikiwemo kuuza transfoma zake hadi Kenya wapo mbioni kuja na kiwanda cha kutengeneza madawa.Wakati hii battle inaanza Wakenya walidhani tunatania, hata baadhi ya WaTz walikuwa hawakubaliani na ukweli uliopo baina ya Dar ya ss na Nairobi, walikuwa wamekaririshwa kuwa wakoloni walichagua Nairobi kuwa makazi yao na miji mingine ya nchi jirani za EA waliamua kuifanya kuwa mashamba, but now hata wale WaTz waliokuwa upande wa Wakenya wamekaa kimya ila wamebaki kuendekeza usiasa tu lkn ukweli wanaujua kwmb Dar imeipiga bao la mkono Nairobina hata Wakenya wameshagundua hilo wamebaki kulaumiana wenyewe kwa wenyewe, Magu hawatomsahau yn 4 yrs only were enough to make this big gap between the two cities
![]()
Tuko serious sn this timeKile kiwanda cha Africab kinachotengeneza vifaa vya umeme ikiwemo kuuza transfoma zake hadi Kenya wapo mbioni kuja na kiwanda cha kutengeneza madawa.
Humu Jf huwa unaingia kwa kutumia nn makalio au, mana PC huna lazima utumie android ambayo ndiyo OS ya icho kitochi chako.Bwhahahaaa!!rudi kw post ya mwenzako uone kaandika nn
Mwenzio kasema android, sasa sijui utamsaidiaje

91% inatoka wapi?we dada,kapike.Surplus ya 9% kw maize ndio unakuja kupiga kelele nayo hapa..
Remember 91% inatoka kwetu
Aha!niliwaambia nugu humu, come 2025,itabidi tukae Kuandika mikataba ya biashara upya nao kwa sababu viwanda vinavyojengwa,vitapunguza pakubwa imports ya bidhaa almost 90%kutoka kwao.Kile kiwanda cha Africab kinachotengeneza vifaa vya umeme ikiwemo kuuza transfoma zake hadi Kenya wapo mbioni kuja na kiwanda cha kutengeneza madawa.
Fake statistics za mitandao vs Mambo kwa ground ni different
Imekuuma sio91% inatoka wapi?we dada,kapike.

tena sio lazima 9% tununue tz, tayari tumeususa unga wenu na bado tunadundaUkija mombasa nitafute uje uone km huaga natumia nnHumu Jf huwa unaingia kwa kutumia nn makalio au, mana PC huna lazima utumie android ambayo ndiyo OS ya icho kitochi chako.
I have been saying here that Tanzanian army is nothing
Mbona mimi mjaji wa huko unikaribishi!Ukija mombasa nitafute uje uone km huaga natumia nn
Usisahau place, ganjoni hata sio mbali na mombasa sports club
Yes, Uganda is ahead of you by far. That one nobody can dispute.read the comments, most have doubted the source! do you even undoubtedly believe Uganda & Zambia are ahead of us??
They've now resorted to character assassination. Very funny peopleRemember most of these people still live in their mothers house. So expect to see them here 24/7.
Wacha kujipendekeza weweMbona mimi mjaji wa huko unikaribishi!