ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
nimecheka sana leo kwamba zile ndio interchange basi munakazi ndefu sana mbele 😂😂😂😂 ubungo imewakata makende naona twitter huko watu hawana hamuKaribu utokwe na machozi. Pole sana ndugu mtafika tu hapo.
ilikua junction sasa kaongeza na interchange ju😂😂😂
Kenya chafu aiseeHizo ni filters. Lakini hizi chini sio Boss.
View attachment 1465853
View attachment 1465854
View attachment 1465855
View attachment 1465856
View attachment 1465857
Take it easy Methuselah. I know you are just bitter you don't have such in Dar. He has confused it with Lang'ata road interchange below. You can see the similarity between the two in design and even the neighbouring area so be easyFool, this is not Kunyaland! U don't drive on the right lane!
Really?😂😂 Here is the render of the road.Fool, this is not Kunyaland! U don't drive on the right lane!
Just dreams,, wakati taskia imehandle 7.2 m nafunga accounthio terminal 3 alone ina capacity ya ku handle 7.2m passengers
Bado chafu.Parts of Nairobi has red soil. So unaexpect barabara iwe na rangi ya blue? Alafu picha yenyewe umeweka filters kilo kumi just to drive your point home. Desperation has taken a toll on you.
That's Kariobangi interchange na ndio hii hapa bila hizo makeup kilo kumi zako
View attachment 1465893
Ila Wakenya hz interchange zenu heheheheheeee Mungu anawaona mjueParts of Nairobi has red soil. So unaexpect barabara iwe na rangi ya blue? Alafu picha yenyewe umeweka filters kilo kumi just to drive your point home. Desperation has taken a toll on you.
That's Kariobangi interchange na ndio hii hapa bila hizo makeup kilo kumi zako
View attachment 1465893


naomba ufunge account leo👇👇👇Just dreams,, wakati taskia imehandle 7.2 m nafunga account
Pax will remain 1.5m😂😂😂. Ikifika hata 4m usisahau kunikumbusha please.
That's not PAX my friend. Nimekuambia JNIA ikifika 4m unitag😂😂
Huyo mlevi wa changaa,


Mtafika huku siku moja tu usijali. Rome was not built in a dayIla Wakenya hz interchange zenu heheheheheeee Mungu anawaona mjue![]()
Interchange ubungo bil200 ss cjui km hii yenu apa inafika hata bilioni 1Parts of Nairobi has red soil. So unaexpect barabara iwe na rangi ya blue? Alafu picha yenyewe umeweka filters kilo kumi just to drive your point home. Desperation has taken a toll on you.
That's Kariobangi interchange na ndio hii hapa bila hizo makeup kilo kumi zako
View attachment 1465893


Mkifika 3m passengers per year unitag tafadhali😂😂😂
Interchange nnayoijua mm ipo ubungo hz nyngne zinafaa kuitwa daraja, interchange bilioni 200 ss hapo kwny hyo pesa unapata uchafu ngp km hz zenu
Pangani Interchange (Nairobi) | bridge, highway interchange / exit
Kenya / Nairobi / Nairobi
bridge, highway interchange / exit
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
This comprises of a three-level road interchange comprising of an overpass from pangani towards Forest road, and a tunnel from Thika road, crossing over to surface again on Muranga road, and branching midway to surface also on Forest road. Service lanes are on ground level serving multi-directional roads.
Wikipedia article: http://en.wikipedia.org/wiki/Pangani_Interchange
Nearby cities:
Coordinates: 1°16'0"S 36°50'3"E
Add your comment in english
For interchanges Here is the list
1. Pangani interchange
2. Museum interchange
3. Thika road Ring road interchange
4. Mombasa road- souther bypass interchange
5. Rironi interchange
6. Donholm interchange
7. Lungalunga road- Likoni enterprise interchange
8. Thika road outer ring interchange
9. Western bypass interchange
10. Gitaru intedrchange
11. Ndenderu interchange
12. Ole sereni interchange
13. Ruiru interchange
14. Athi River interchange
15. Wangige interchange
16. Mombasa road- Kitengela junction interchange
17. Mombasa road - Namanga interchange
18. GSU Interchange
19. Ruaka interchange
20. Lower Kabete interchange.
- For Wealth, Nairobi is worth $54b while Dar is $ 25. That`s staggering difference of $ 30b
- View attachment 1465885
So unataka kutuambia kwamba that building with red roof is part of that tower under construction? Is that how contractors do their job in Tanzania? They complete part of a building while the other areas haven't even topped out? Danganya wadanganyika wenzako