Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata pumzi ya kutoka hapa tu hakuna
tapatalk_1588389991510.jpg
 
Hata pumzi ya kutoka hapa tu hakuna View attachment 1465644
Dah mkuu mbn una moyo mwepesi hivyo, yn kakuchokoza kdg tu umemfunga mdomo, hii huwa tunaiacha cku hz mpk pale itakapoonekana mazoea yamezidi ndo tunawaua na hii, ilikosaga mpinzani hii huoni uyo mpuuzi ameleta uo uchafu wa Mombasa ili ionekane nao wana density km ya kkoo
 
Hivi hizi train zetu za SGR hususani za freight, hv zitaanzia kuchukua mzigo pale bandarini au zitaanzia safari pale Kwala, mana naona kama kile kipande hakitamalizwa kwenda bandarini na ndiyo maana GoT ikaweka Kwala ICD, naomba kujuzwa kwenye hili.

NB: nakaribisha mawazo kwa mtu ambaye kwao kuna Electric SGR km kwenu hamna move back
 
Back
Top Bottom