NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Bwhahaaa!!wivu mbaya jamani
Ujamaa umekufunga akili walai, umesahau km wakenya wanamiliki makampuni bongo
Kwa hiyo unataka kusema nini? Na hapo wivu umeapply wapi? Mwenzako kauliza wapi foreign real estate companies in Kenya. Tumemwonyesha , we unakuja umekenua hapa eti ni Wivu. Halafu unataja Akili. Kwa jinsi ukivyodandia hapo umetumia akili wapi hapo?
Halafu eti hamjui kuwa kwenu kuna big foreign real estate companies.
#AkilizaHandshake.




