Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bwhahaaa!!wivu mbaya jamani
Ujamaa umekufunga akili walai, umesahau km wakenya wanamiliki makampuni bongo

Kwa hiyo unataka kusema nini? Na hapo wivu umeapply wapi? Mwenzako kauliza wapi foreign real estate companies in Kenya. Tumemwonyesha , we unakuja umekenua hapa eti ni Wivu. Halafu unataja Akili. Kwa jinsi ukivyodandia hapo umetumia akili wapi hapo?

Halafu eti hamjui kuwa kwenu kuna big foreign real estate companies.

#AkilizaHandshake.
 
Ni kweli mkuu ila hawa jamaa sijaona wakiweka nguvu kubadilisha maeneo ya uswahilini..na kuyaongezea thamani,Project kama ile ya Magomeni..zingegusa kwenye maeneo mengi kwenye miji yetu mikubwa ikiwemo Dar es Salaam especially kwenye maeneo yaliyokaribu na katikati ya mji mfano,Buguruni kwa Mnyamani,Tandale....pia kuna bodi ya mfuko wa fidia ya ardhi huu nao upewe nguvu kimkakati kwa maono ya mbele,kuibadili miji yetu na kwa matumizi bora ya ardhi.Nimewaza kwa sauti tu.
The same thinking. Nadhani huko mbeleni hilo halitokwepeka kama tunataka kweli kuboresha majiji na miji yetu.
 
siku ukitoka hapa tag me
View attachment 1465502
Sasa na kwa hiyo picha ya dar kuna buildings chache za floor tano na dwarf tatu za 35 floors pekee ndio unataka kutuaminishaje
JamiiForums1652404664.jpg
 
Back
Top Bottom