jiwe jeusi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2012
- 863
- 850
Duh, eti anachimba shimo anakalia kama kuku anataga, na anaweza kaa muda wote , Nilidhani nimeona kila kitu dunia hii. Noma sana .
🤣🤣🤣🤣🤣
Duh, eti anachimba shimo anakalia kama kuku anataga, na anaweza kaa muda wote , Nilidhani nimeona kila kitu dunia hii. Noma sana .
angalia madirisha yalivochoka😂😂😂Heheheheheeee waje waige na hii co kutengeneza mabanda ya kuku na kuanza kuwaambia tax payers wametengeneza Ikulu, hebu tulinganishe na huu uchafuView attachment 1463482
hii dunia haina haki yani mpaka nimejiuliza hvi kenya nchi imelaaniwa aisee😂😂😂😂Duh, eti anachimba shimo anakalia kama kuku anataga, na anaweza kaa muda wote , Nilidhani nimeona kila kitu dunia hii. Noma sana .
Hahahahaha dahhuku Tanzania, jua linawaka balaa na maisha yanaendelea kama kawaida
Corona tumeipa masharti mawili
1. Iondoke nje ya mipaka yetu au
2. Kama imeamua kubaki, ikae kwa kutulia na heshima . Maisha lazima yaendelee
Wacha weee, jamani muwe makini na mali zenu muwe mnatembelea na nairaland hawa wapuuzi humu watasema yao huko kunako nairaland



hii kitu ni konkiIkulu ya Dodoma
View attachment 1463398
Aise kitu tayari! Mwaka huu ni mwendo wa maumivu kwa nugu!
Today the last second day of May.
SGR-April Progress Video? i bet wataitoa leo
Mimi ardhi nimeanza kumiliki niko chuo mwaka wa pili nina kiwanja kimoja namaliza chuo mwaka mmoja baadae namiliki kiwanja cha pili kama ningekuwa mkenya kwakweli hii ingebaki ndoto
Kuna daraja lingine bado wembe ni huohuo. .wale wanaotoka mwenge kuelekea Tabata
Aisee wanyaki tunasema Jubha jubha.....imeka poa sana aiseeIkulu ya Dodoma
View attachment 1463398
