Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtanzania ukitaka kujua ameshindwa siku zote, ngoja tu akianza kupost picha za kibera, hapo unajua sasa kaamua kumwaga unga na maji ili sima isipikwe, hata hizo picha za eneo kubwa ukiuliza tutakupatia tu kiazi kizidi kufura kwa koo!

View attachment 1462363


View attachment 1462367
hqdefault.jpg
AACBJYs.img
000_1JD2NX-2.jpg

header.jpg


cropped-nairobi.jpg
Kwani kibera iko wapi?
 
Heheheheheeee waje waige na hii co kutengeneza mabanda ya kuku na kuanza kuwaambia tax payers wametengeneza Ikulu, hebu tulinganishe na huu uchafu[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1463482
What is so special kwa hiyo building?unajua kuwa the modern statehouse ni hii ya Dar and that ya Dodoma ndiyo hakuna hata kulinganisha na hiyo banda yenu hapo??
 
Back
Top Bottom